Huwezi kuwalinganisha Diamond wa Sharobaro na Harmonize wa WCB!Maneno kama haya yaliwahi kusemwa kwa DIAMOND alivyoondoka kwenye lebel ya SHAROBARO RECORDS na kuachia ngoma yake ya kwanza ya MOYO WANGU kila mtu aliona ndo anguko la Diamond na wengi walishauri bora arudi kwa bob juniour.... Ila mpaka sasa kijana anafanya vizuri zaidi ya hapo awali.
Kwa upande wa HARMONIZE naona kijana apewe muda ni mapema mno kutabiri yatakayotokea kwenye mziki wake nje ya WCB.
Mkuu ongeza volume kidogo sauti iko chini sana.. Unasema??????Hiyo UNO achanana nayo kabisa, ni zile aina ya nyimbo unajifanya huipendi ila ukiwa bafuni unajikuta unaimba mwenyewe tena kwa sauti.
Hebu tulia uone kama hautaukimbia huu uzi baada ya wiki 2.
Ww wenzako watakuwa wanakuchonoa huko nyuma sio bureDua zangu ni azid kuporomoka mpaka abadili kazi labda afungue mgahawan
wewe msukule wa naniMisukule Ya Domo.
Siku Zote Kwao Msanii Aliye Nje Ya WCB Hawezi Kutoa Wimbo Mzuri.
Na Kila Msanii Anaeonekana Kuweka Juhudi Za Kutishia Ufalme Wa Mtu Wao, Watamponda Humu Balaa!
Waliaoza Na,
Darassa
Aslay
Mavoko
Sasa Harmonize
Misukule Ya Domo Haina Akili
Ngoma kali sanaHiyo UNO achanana nayo kabisa, ni zile aina ya nyimbo unajifanya huipendi ila ukiwa bafuni unajikuta unaimba mwenyewe tena kwa sauti.
Hebu tulia uone kama hautaukimbia huu uzi baada ya wiki 2.
Baba akoWe fala nn
Labda taifa la JF, huo wimbo umeshafeli.uno imeshakuwa wimbo wa taifa sheikyahaya
😂😂😂Sina shaka ule wimbo aliouimba tena wa Ngwangwalu, Jiwe anatamani uwe wimbo wa Taifa!
Pombe ndio inachangia pato la ndani la nchi kwa asilimia zoteAcha pombe kijana...
Koma alama ya mkato mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuukoma we Moyo wangu haikuwa nyimbo ya kawaida
Soma uelewe kilichondikwa kwanzaHuwezi kuwalinganisha Diamond wa Sharobaro na Harmonize wa WCB!
Neno moja kwake?DIAMOND alimsomesha binti chuo baada ya kuhitimu yule binti akapata kazi na kupata bwana mwengine na kuolewa nae
Hata mi nimeshangaa, yale yale ya MavokoYani huyu badala ya kwenda na kua star kimataifa anarudi kua underground. Uno n mbaya sna[emoji34]
🤣🤣🤣🤣🤣Hili ni tatizo sawa na ndoa za vijana wakileo,wakishaoana...mke anaanza kumlinganisha mume wake na ma X wake,vivyo hivyo na mume naye anamlinganisha mkewe na ma X wake,matokeo yake ndio kusikia maneno BWAWA NA KIBAMIA
ukisikia leo hii mtu flani katangazwa ni TAJIRI wa duniaIko Hivi, Harmo wimbo wowote atakao toa sahivi watu watakua wana compare na enzi akiwa WCB.
Hapo ndio Tatizo.
Ndivyo ulimwengu unavyofanya kaziWatanzania wachawi.
Tanzania imekuwa pande 2
Watawala vs Watawaliwa
CCM na Upinzani
Wasafi vs Wapinzani
Diamond vs Wapinzani
Simba vs Yebo yebo
Tanzania kazi ipo
Una amka asubuh unawaza kumkosoa mwenzako mwenye mafanikio zaid yako...! Hzo nguvu unatoa wapTafadhali sana umemkuta Harmonize akiwa kwenye peak na nyimbo zake very hot,uendeleze walipoishia WCB na azidi kupaa zaidi,chagueni ngoma kali za kurelease, lakini kwa mwendo huu wa nyimbo mbovu anazotoa siku hizi kama huu mpya "UNO" lawama zote zitarudi kwako we jembe kwa kumshauri vibaya mmakonde wa watu.,ni hayo tu!!