500000 ya Tanzania ah Zimbabwe?Nimeona post yako, nilikuwa naangalia namna ya kukusaidia..lakini kwa haraka haraka kuna kitu kibaya, muulize tu nani kamfundisha hayo mambo? Akigoma tuma sh 500000tu, nimuumbue hadharani, alaf tukomeshe hiyo, na yeye tumtuo huko
WapoUnanichanganya jamani[emoji23][emoji23][emoji23] mchawi halaf tajiri tena?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mbona mnawachukia wachawi?Ogea chumvi uliyochanganya na maji na ndimu hiyo hali itakoma.. Mdogo wako tayari keshatekwa huko
Hayo ni mapepo mkuuuMsaada jamanI
Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.
Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.
Vipi bado upo mwanza au upo Mara?Sawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fanyeni maombi...
Yasije yakawakuta kama ya kwenye "The days of our Lives" walihangaishana na yule jini...
Fun Fact-Ni kua Islam is the most hated religion and the fastest growing religion,. ukiulizwa waislam wameingiaje hapo?,wacha chuki Islam is here to stay.waislam bwana hasira muda wowote
Kukulia kwa imani na kua kuishi kwa imani ni vitu viwili tofauti ndio maana unapigwa ngeta na wanga ndotoni,Mimi ni mtu ambaye nimekulia kwenye imani na sina mambo ya waganga
ImawezekanaMsaada jamanI
Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.
Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.
Sio lzm iwe hivyoUkimtuhum mdogo wako kwa uchawi technically atakaua amepewa na mama yako au bibi yako . It means it's a family thing. hebu chunguza ujue nani kati Yao alimpa huo uchawi
Nani kakudanganya?Sio rahis hawana mlango WA kuingilia.
Fanya maombi kwa ajili yake, inawezekana unayoyaota na kuwaza ni kweli, na inawezekana hata yeye mwenyewe hajui....poleUmeongea point mkuu sababu hata mimi utoton walitakaga kunifunza hivyo lakin mungu hakuruhusu hayo naona yanakuja kwa mdogo wangu