Naota navamiwa na majambazi au wachawi

ammoshi
ho nyuma ngilefina sana mburu na safu kwa vameku vya kasha na so sensumbwa. Kana itereva le mbona ngeitereva sana. Wanifundisha itereva kwa samu ya Yesu. Kyo ki ngaitereva ngeamba kwa samu ya Yesu. Ngire mitihani sa singi ngeenda Sha msukwa.
 
Nilitaka niandike kitu bt nimepita comment nimehisi haupo serious na hizo ndoto, na hata kama ni kweli unaota bado hazijakuchosha au hazijakufika kooni,ili uhitaji msaada Kwa kumaanisha , samahan lakini hayo ni mawazo yangu tu
 
Hahahhaha alafu Gily et anakusingizia unatembea na kisamvu kwenye ganda la kiberiti
Hajui dada yake shape hana alafu anaomba range Rover

Huku kwangu asipiteeee kabisa atarudi kiwete
haha🀣 motoni kuna siti zenu wewe na Johnnie Walker Tena ni za moto hatari🀣🀣

Dada zangu utawaona tu kwa picha nawaweka mbali na mbwa mwitu
 
Nilitaka niandike kitu bt nimepita comment nimehisi haupo serious na hizo ndoto, na hata kama ni kweli unaota bado hazijakuchosha au hazijakufika kooni,ili uhitaji msaada Kwa kumaanisha , samahan lakini hayo ni mawazo yangu tu
Niko serious vibaya mno washikaji zangu huku ndani wengi wanazingua. Shida watu wanahisi simjui Yesu wao wanamjua zaid. Nna cheti cha Bible knowledge nimepita seminari na haipiti siku sijasoma Bible. Wanataka nimjue Yesu wamjuavyo wao juu juu

Kama una tafsiri ya hii ndoto nitashukur sana ila kama jibu niokoke bado hujajibu swali langu. .
 
UKIONA UMEOOTA MTU ANAKUCHUNGULIA DIRISHANI. HUWA MARA NYINGI KUNA MCHAWI YUPO KARIBU YAKO MOST OF THE TIME

ILA KUHUSU UJAMBAZI SIJUI

SITANIII NAMAANISHA
Hili jibu kuna mzee nilimshirikisha mtaani akaniambia wachawi wamaweza chungulia dirishan hata wakiwa makwao. Ila nilipuuzia ngoja nimulize vizuri tena alimanisha nini. .
 
Unaweza msikiliza shetani ila haimanish kuwa umemkabidh au umejikabidhisha kwake. Hata Yesu alijaribiw na shetan mara tatu mimi ni nani?
 
haha🀣 motoni kuna siti zenu wewe na Johnnie Walker Tena ni za moto hatari🀣🀣

Dada zangu utawaona tu kwa picha nawaweka mbali na mbwa mwitu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sisi ni Simba wewe
Hao hawatoki kwamkapa lazima tuwapakate
 
Unaweza msikiliza shetani ila haimanish kuwa umemkabidh au umejikabidhisha kwake. Hata Yesu alijaribiw na shetan mara tatu mimi ni nani?
Soma tena ndugu mvamiwa kuna kitu hujakinotisi.
 
Hakuna hata anayetaka kunitafsiria maana ya ndoto zangu πŸ˜”

Hili swala linaninyima raha sana. .
Mkuu mtafute aliyekuumba ukimpata muabudu yeye peke yake wala usimfanyie mshirika wa karibu yake, huyo utatubu madhambi kwake moja kwa moja bila mtu wa katikati na tabu zote hizo zitabaki historia.

asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…