Kifo chake ni vile vifo vinaitwa pre mature deaths,yaani kifo kabla ya wakati,mara nyingi watu wa namna hyo huwa hawaendi mahali pa nafsi za kupumzikia bali huwa wanakuepo tu maeneo yetu mpaka pale Watapoitwa na Mungu kwa wakati wake sahihi...Kauli yake wa mwisho ndiyo ina utata,labda alisema kwa utani tu ila ina maana kubwa.Ni wazi kuwa bado yupo na wewe kiroho na anajiskia vzr kuwa na wewe,japo si kawaida na si kwa namna ya kibinadamu.Inauma ila anatakiwa aende tu coz yeye ni mfu na wewe ni hai,hamuwezi kuwa pamoja,ingawa itamuuma sana.