House4Rent Napangisha nyumba nzima Tegeta

House4Rent Napangisha nyumba nzima Tegeta

Mkuu sijakatisha tamaa ila nimemaanisha kwaiyo kodi iyo sio nyumba ni pagazi!

Ila angesema anapangisha laki kwa mwezi nisingesema kama ni pagazi
Sio mzima wewe anyway nmekudharau.
Umri wako unakuruhusu kuongea pumba.
Ungepita tu kimya sio lazima uoneshe your emptiness head.
 
Mkuu sijakatisha tamaa ila nimemaanisha kwaiyo kodi iyo sio nyumba ni pagazi!

Ila angesema anapangisha laki kwa mwezi nisingesema kama ni pagazi
Laki Bei ya chumba na sebule Tandika
Utakua unakaa huko maybe
 
Mkuu laki 4.5 kwa mwezi inafanya ionekane pagazi we laki kwa mwezi uone
Ina deserve, location ilipo full kipupwe Cha bahari,
Ulisikia wapi Dar hasa Tegeta huku Kuna nyumba nzima kwa laki?
Labda huko ulipo
Anyway tusipangiane kama wewe ulivo kua unauza S7 kwa 1.1m kwa mie hiyo ata kwa laki mbili sinunui coz nasafiri na nauwezo wa kupata yeyote kwa half price ya iyo yako so ni uchaguzi wa mtu
Mwingne hii laki nne na nusu anaona napangisha nyumba nzuri hivi kwa Bei rahisi hivi
Najua unaleta ujuaji tu tafuta ata fremu huko uswekeni kwa laki yako
 
Mkuu laki 4.5 kwa mwezi inafanya ionekane pagazi we laki kwa mwezi uone
Ukinionesha yako hata ifikie nusu wa uzuri na ukubwa wa hii popote pale Dar kwa Ela iyo nakupa ofa uje ukae hapa bure mwaka mzima as watchman me nategemea kusafir
Ikiwa Tegeta itapendeza
 
Back
Top Bottom