King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Unauza Ngapi hiyo mkuu.Haijatembea tu mda hatukuwepo wote,inataka 2m ili itembee vibali na service
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauza Ngapi hiyo mkuu.Haijatembea tu mda hatukuwepo wote,inataka 2m ili itembee vibali na service
Watu kama huyu kaka una mu ignore tuwatu mna uwezo mkubwa wa kukatishana tamaa!!tuwekee picha ya nyumba kwa tafsiri yako mkuu
Hahahaha bado sijafikiria ,ntakufahamisha ikiwa sokoni bro.Unauza Ngapi hiyo mkuu.
poa sio kesiDalali kwenye changu mkuu?
Picha tayari nasafiri Sana mkuu that why sikua na picha ,
uoni ishataga hiyo haina safari tenaHiyo X Dala Vipi Unauza?
Mkuu sijakatisha tamaa ila nimemaanisha kwaiyo kodi iyo sio nyumba ni pagazi!watu mna uwezo mkubwa wa kukatishana tamaa!!tuwekee picha ya nyumba kwa tafsiri yako mkuu
Sio mzima wewe anyway nmekudharau.Mkuu sijakatisha tamaa ila nimemaanisha kwaiyo kodi iyo sio nyumba ni pagazi!
Ila angesema anapangisha laki kwa mwezi nisingesema kama ni pagazi
Sawa si wewe ndio upo nayo hii.uoni ishataga hiyo haina safari tena
mkuu hiyo ndinga sio nzima kwa macho tuSawa si wewe ndio upo nayo hii.
Laki Bei ya chumba na sebule TandikaMkuu sijakatisha tamaa ila nimemaanisha kwaiyo kodi iyo sio nyumba ni pagazi!
Ila angesema anapangisha laki kwa mwezi nisingesema kama ni pagazi
Ok,haiuzwi hiyo.mkuu hiyo ndinga sio nzima kwa macho tu
Itavutwa na break-down?Ok,haiuzwi hiyo.
Nyumba ndo inapangishwa na siku mpangaji anahamia itakua inatembea tayari hataikuta.
Hahaha,Aya bana.Itavutwa na break-down?
Mkuu laki 4.5 kwa mwezi inafanya ionekane pagazi we laki kwa mwezi uoneSio mzima wewe anyway nmekudharau.
Umri wako unakuruhusu kuongea pumba.
Ungepita tu kimya sio lazima uoneshe your emptiness head.
Ina deserve, location ilipo full kipupwe Cha bahari,Mkuu laki 4.5 kwa mwezi inafanya ionekane pagazi we laki kwa mwezi uone
Ukinionesha yako hata ifikie nusu wa uzuri na ukubwa wa hii popote pale Dar kwa Ela iyo nakupa ofa uje ukae hapa bure mwaka mzima as watchman me nategemea kusafirMkuu laki 4.5 kwa mwezi inafanya ionekane pagazi we laki kwa mwezi uone
Mkuu laki 4.5 kwa mwezi inafanya ionekane pagazi we laki kwa mwezi uone
Hawa ndio mabarobaro wa Town mkuu ukute hapo ni Ben Ten wa tu hahahaTabia zako zinafanana sana na vijana wanaoishi kwa shemeji zao ambao hawajui kuhusu house rent na bills nyingine.
Samahani kama hauishi kwa shemeji yako lakini.
Unaishi dar kweli?Mkuu laki 4.5 kwa mwezi inafanya ionekane pagazi we laki kwa mwezi uone
usikonde nachangamsha tu genge ila hiyo nyumba kodi hiyo ni kawaida tu sio kubwa kivile nyumba ina nafasiHahaha,Aya bana.
Ata kusukumwa pia sio kesi