Bloodstone
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 920
- 994
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari bossTangazo la nyumba bila picha ni sawa demu mrembo asiye na papuchi.
Miezi mitatu unauwa bossKm maelezo yako hujaongeza Chumvi...! Weka picha me nije niione sasa hv. Lkn ufanye laki 4 na nikulipe kodi ya miezi 3. Kuna umbali gani kutoka barabara ya bagamoyo na nyumba ilipo???
Tegeta gani ya Nyaishozi ipo few meters karibu na Bahari? Maana kutoka Tegeta Kuitafuta Bahari(Kunduchi) ni zaidi ya Km 4 hadi 8....Weka Picha Nina watalii huku Arusha wanakuja DSM kama ipo Baharini wanaweza mkafanya biznes.Mtu anasema laki 4.5 nyingi? nyumba iko few metres toka baharini,
Huku watu wanapangiswa kwa dollars
Me nataka laki nne na nusu tu na haina shida,
Sure,we can discussUngeweka picha ingependeza zaidi, naishi ununio beach but nataka kuhama hii nyumba ninayokaa, so please weka picha na details zingine naweza kuwa interested, hope km mtu analipa for long term Bei itapungua
Dalali kwenye changu mkuu?Mtoa mada ungeweka picha watu tungeitathmini ukisema tu iko karibu na bahari na ina AC na fremu haitoshi. Weka picha watu wathaminishe ndio maana wanhisi wewe ni dalali kwa kuwa kama nyumba ni mali yako unakosaje picha
Hiyo X Dala Vipi Unauza?
We can discussHiyo AC i basic need kwa mahitaji ya mtu aliyeko Dar.. hapo kwa maelewano ni sawa frem unaziacha kwa ajili ya anaepangisha nyumba?
Mkuu iyo ni nyumba au Pagazi?Tayari boss
Pagazi ndio Nini?Mkuu iyo ni nyumba au Pagazi?
Thanks mkuu karibu Sana,nyumba iko poa,it worthy
Hahahaha unaitaka Kaka?Hiyo X Dala Vipi Unauza?
Sio ya kunduchi kaka,karibu na mnara wa TigoTegeta gani ya Nyaishozi ipo few meters karibu na Bahari? Maana kutoka Tegeta Kuitafuta Bahari(Kunduchi) ni zaidi ya Km 4 hadi 8....Weka Picha Nina watalii huku Arusha wanakuja DSM kama ipo Baharini wanaweza mkafanya biznes.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tangazo la nyumba bila picha ni sawa demu mrembo asiye na papuchi.
Mkuu iyo ni nyumba au Pagazi?
Yap Nzima hiyo au ina shida gani naona kama ipo juu ya mawe au macho yangu tu?Hahahaha unaitaka Kaka?
Haijatembea tu mda hatukuwepo wote,inataka 2m ili itembee vibali na serviceYap Nzima hiyo au ina shida gani naona kama ipo juu ya mawe au macho yangu tu?