Napata mashaka juu ya ahadi ya Mito ya pombe mbinguni. Kama Pombe ni chukizo kwa Allah, ni kwanini Pombe iwepo mahali patakatifu?

Mbona pombe haijakatazwa? Kilichokatazwa si pombe bali kileweshi. 2.5 of ethonal and above haituhusi hapa duniani na huko peponi.

Kule utapata pombe tamu kama hapa duniani. Less than 2%
 
Wamama wao watapewa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…