Napata mshahara ila unaisha ndani ya wiki mbili au tatu, naishia kukopa

Napata mshahara ila unaisha ndani ya wiki mbili au tatu, naishia kukopa

Mbona wiki 2 nyingi sana mkuu...🤔
Wengine kwa huo mshahara hua unaisha ndani ya siku 5, kisha tunaanza kuishi kimipango mipango, unga ungamwana...😜
 
Huyu Ashura wa mpanda namjua vizuri na juzi nimepita kwao bibi yake anaumwa siku ya tatu sasa mdogo wake Rajabu ndio kabaki na jukumu la malezi.

Just imagine,juzi kapita na mzigo wa kuni hapa anasema anenda kumchemshia bibi yake maji na dada yake Ashura kaenda Daslamu.Leo hii Ashura anatueleza habari za maisha ya Kimarikani sijui mlimani city bure kabisa
Mkuu name calling hairuhusiwi
 
Mbona wiki 2 nyingi sana mkuu...🤔
Wengine kwa huo mshahara hua unaisha ndani ya siku 5, kisha tunaanza kuishi kimipango mipango, unga ungamwana...😜
Mim naishi ki amapiano siku zote hadi tarehe 30
 
Hakukuwa na haja ya kueleza umesoma Mmarekani. Mmarekani wa mchongo
 
Miaka 23 ameajiriwa afu analipwa mshahara 3 millions 🤔 hii kahawa kabisa chungu😌
 
Mbona wiki 2 nyingi sana mkuu...🤔
Wengine kwa huo mshahara hua unaisha ndani ya siku 5, kisha tunaanza kuishi kimipango mipango, unga ungamwana...😜
Siku Tano nyngi mkuu Yani mi kabla hujaja ushaisha kitambo
 
Bila kumshirikisha Mungu kwenye haya maisha hutoboi
 
Mim naitwa Maina ni mtanzania nisoma marekani chuo kikuu cha MIT nina umri.wa miaka 23. Sina muda mrefu kuingia humu JF. Nimekomaa kiakili ila si kimwili.

Nilisoma Tanzania kidogo nikahamia Marekani. Nilisoma level zote ke na hadi chuo.

Nimeamua kuja nchi ya amani. Naipenda sana Tanzania. Ninafanya kazi nzuri tu. Na ninapata pesa. Kwa Marekani matumizi ni ya juu. Nikiwa tz kwa wastani wa Tsh milioni 3 kwa mwezi ni pesa ambayo naimaliza kwa wiki 2 hadi 3. Kiufupi mimi sina jidhamu ya pesa kule marekani nikinunua Pombe za mwez mmoja inatosha ila huku hairoshi. Sabab ni kipato pesa ninayopata kwa mwezi haitoshelezi matumizi makubwa hasa nikifanya manunuzi sehem ghali kama mlimani City nk.

Hiyo ni brief fupi kuhusu cash and purchases monthly.

Wiki mojaniliuopita niliamua kutafuta kazi kampuni nyingine walau nipate 5mil p/m labda itanitosheleza. Ndg zangu nchi inaamani sana na maisha ni wewe mwenyewe. Nipo hapa naona amani ni moyo sio pesa. Ila nimefanya research hata hata serikalini ningeomba kazi ila nllabda kama ningekuwa mkuu.wa idara ila posho ya HoD ni chini milioni labda benki kuu nk.

Kikafanya research sector mbalimbali nikaambulia hali ngumu na ndio maana rais wa Tanzania lazma awe kama magufuli na ndio maana mama anampenda makonda. Niwambie mama hashindwi kumpa makonda PM.

Viongozi baadhi ni wezi wanajitajirisha sana na mimi kwa mawazo yangu raisi wa Tanzania wapende watumishi wa umma. Ukiwajali na sector binafsi watawajali watumishi wao hata House girl anaweza akalipwa 500,000.

This is a brief statement from me maina.

Niende kweny hoja.

Napata mshahara ila unaisha 2 hadi 3 week. 4th weeks naishia kukopa. Nisaidieni ushauri
Mbona uandishi wako ni wa mtu wa kajambanani? Massachusetts Institute of Technology itoe product ya hovyo namna hii? Haiwezekani!
 
Back
Top Bottom