Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 643
Wakuu,
Mimi nikijana ninafanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa.
Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha.
Hivyo Sehemu nayofanyia kazi kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela nikijumlisha na mahitaji yote ni ndogo sana.
Juzi NSSF wamenilipa million 3. Na nina pikipiki nilinunua bodaboda wangu kairudisha so niko nayo.
Nimepata wazo la kuacha kazi nikajiajiri kwa hii Hela niliyoipata ya mafao.
Niliwaza mkoa wa Morogoro au Dodoma.
Ushauri wakuu.
Mimi nikijana ninafanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa.
Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha.
Hivyo Sehemu nayofanyia kazi kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela nikijumlisha na mahitaji yote ni ndogo sana.
Juzi NSSF wamenilipa million 3. Na nina pikipiki nilinunua bodaboda wangu kairudisha so niko nayo.
Nimepata wazo la kuacha kazi nikajiajiri kwa hii Hela niliyoipata ya mafao.
Niliwaza mkoa wa Morogoro au Dodoma.
Ushauri wakuu.