kamwendo
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 900
- 1,923
Mkuu,Ajira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.
Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.
So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000
So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000
Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000
Jumla kama ya 230000
Nabakiwa na 70000
Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
Naomba mchanguo Kama huu WA hiyo biashara unavyoenda kufanya?
Mpaka Sasa huu mchanganuo ni uhalisia Ila hiyo biashara yako Bado ni hisia Hauna uhakika Kama itakulipa ata iyo laki tatu Kwa Mwezi.
Mm nashauri iyo boda tafuta dereva mwingin uingie nae mkataba, piga miezi sita mwingine apo kazini na uwe na juhudi kweli kweli unaweza kuajiriwa mazima.
Kanunua nzuri ya kutoboa ni 1
1. Tafuta Nafasi
2. Ukishapata nafasi Onesha uwezo... Uwezo ni kufanya kazi Kwa bidii mara mbili ya inavyotakiwa. Ww Acha bidii yako iongee.
3. Ukionesha uwezo utaaminika.
4. Ukiaminika ndo mwanzo WA kupiga hela.
Siamini Kama utaendelea kuwa volunteer zaidi ya mwaka mmoja .