nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
Asante sana kaka .Isikilize Sauti iliyopo ndani mwako. Niliwahi kumshirikisha mke na dadaangu kwamba Nataka kuacha kazi nitumie akili yangu kujijenga kiuchumi. Nilipata vitisho vizito sana na nikatishika lakini baadae Nikaja kugundua kwamba yanahitajika maamuzi magumu kuacha kazi na kipindi hicho nilikuwaga nalipwa laki6 take home. Lakini nikaingia kufanya mishe zangu kwa maamuzi Binafsi , baadae mke na dada wakaja kunishangaa maana Nikawa na limitless income Halafu muda Nikawa ninao wa kutosha kulea familia pia Nikawa huru kusimamia vitu vyangu. So Amua mwenyewe from your heart. Kama Sauti ya ndani hairidhiki uache kazi basi usiache ila kama ile Sauti imeridhia 100% hakuna kitakqchoharibika achana na hicho kikazi tengeneza pesa zako. Huo muda spend kutengeneza business.
Kwanza natumia muda mwingi sana kwenye kazi nisiyojua future yake .
Na ikiwa nimetoka kufanya kazi nyingi tu za kueleweka.