Napata Mshahara wa laki 3, nataka niache kazi nikajiajiri

Napata Mshahara wa laki 3, nataka niache kazi nikajiajiri

Kujiajiri kwanza inategemea upo wapi na unataka kufanya nini. Kama ulipo panakubaliana na unachotaka kufanya, fine jitose Mkuu.
 
Wewe kwenye kujiajiri,vyote unavyo kasoro kimoja tu,uthubutu wa kuamua kuanza,
Unao mtaji,chombo Cha usafiri kukurahisishia mishemishe unayo,bado uthubutu wako na wazo la n nini ufanye ndo umekosa,
Unatakiwa usiogope kuamua ,watu wanaendesha biashara mtaji milioni,pesa inayozunguka kwenye uchuuzi Ni laki 4 tu na daily uhakika kukunja 15 Hadi 30
 
Wewe kwenye kujiajiri,vyote unavyo kasoro kimoja tu,uthubutu wa kuamua kuanza,
Unao mtaji,chombo Cha usafiri kukurahisishia mishemishe unayo,bado uthubutu wako na wazo la n nini ufanye ndo umekosa,
Unatakiwa usiogope kuamua ,watu wanaendesha biashara mtaji milioni,pesa inayozunguka kwenye uchuuzi Ni laki 4 tu na daily uhakika kukunja 15 Hadi 30
Mwambie hili andiko lako alitafutie fremu aliwekee kisha aweke ukutani chumbani kwake awe analisoma kila siku kabla ya kulala na kila aamkapo asubuhi
 
Isikilize Sauti iliyopo ndani mwako. Niliwahi kumshirikisha mke na dadaangu kwamba Nataka kuacha kazi nitumie akili yangu kujijenga kiuchumi. Nilipata vitisho vizito sana na nikatishika lakini baadae Nikaja kugundua kwamba yanahitajika maamuzi magumu kuacha kazi na kipindi hicho nilikuwaga nalipwa laki6 take home. Lakini nikaingia kufanya mishe zangu kwa maamuzi Binafsi , baadae mke na dada wakaja kunishangaa maana Nikawa na limitless income Halafu muda Nikawa ninao wa kutosha kulea familia pia Nikawa huru kusimamia vitu vyangu. So Amua mwenyewe from your heart. Kama Sauti ya ndani hairidhiki uache kazi basi usiache ila kama ile Sauti imeridhia 100% hakuna kitakqchoharibika achana na hicho kikazi tengeneza pesa zako. Huo muda spend kutengeneza business.
 
Isikilize Sauti iliyopo ndani mwako. Niliwahi kumshirikisha mke na dadaangu kwamba Nataka kuacha kazi nitumie akili yangu kujijenga kiuchumi. Nilipata vitisho vizito sana na nikatishika lakini baadae Nikaja kugundua kwamba yanahitajika maamuzi magumu kuacha kazi na kipindi hicho nilikuwaga nalipwa laki6 take home. Lakini nikaingia kufanya mishe zangu kwa maamuzi Binafsi , baadae mke na dada wakaja kunishangaa maana Nikawa na limitless income Halafu muda Nikawa ninao wa kutosha kulea familia pia Nikawa huru kusimamia vitu vyangu. So Amua mwenyewe from your heart. Kama Sauti ya ndani hairidhiki uache kazi basi usiache ila kama ile Sauti imeridhia 100% hakuna kitakqchoharibika achana na hicho kikazi tengeneza pesa zako. Huo muda spend kutengeneza business.
NZuri hyo
 
Wakuu,

Mimi nikijana ninafanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa.

Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha.

Hivyo Sehemu nayofanyia kazi kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela nikijumlisha na mahitaji yote ni ndogo sana.

Juzi NSSF wamenilipa million 3. Na nina pikipiki nilinunua bodaboda wangu kairudisha so niko nayo.

Nimepata wazo la kuacha kazi nikajiajiri kwa hii Hela niliyoipata ya mafao.

Niliwaza mkoa wa Morogoro au Dodoma.

Ushauri wakuu.
Kama Kuna gap la kuvipeleka vyote kwa pamoja itapendeza zaidi

Sent from my CPH2095 using JamiiForums mobile app
 
Usiache kazi!
Kwa sababu
1 huna wazo la biashara
2 huna uhakika na biashara itaendelea vizuri au haitaendelea

Ikiwa una wazo la kufungua biashara!
Fungua huku unaendelea na kazi ikisha kuwa imara na ukapima kipato kinatosheleza kujiendesha bila kazi ndipo uache kazi, kinyume na hapo huenda ukakilaumu baadae
 
Usiache kazi!
Kwa sababu
1 huna wazo la biashara
2 huna uhakika na biashara itaendelea vizuri au haitaendelea

Ikiwa una wazo la kufungua biashara!
Fungua huku unaendelea na kazi ikisha kuwa imara na ukapima kipato kinatosheleza kujiendesha bila kazi ndipo uache kazi, kinyume na hapo huenda ukakilaumu baadae
Wazo ni nalo sema sijaamua kushare mkuu
 
Isikilize Sauti iliyopo ndani mwako. Niliwahi kumshirikisha mke na dadaangu kwamba Nataka kuacha kazi nitumie akili yangu kujijenga kiuchumi. Nilipata vitisho vizito sana na nikatishika lakini baadae Nikaja kugundua kwamba yanahitajika maamuzi magumu kuacha kazi na kipindi hicho nilikuwaga nalipwa laki6 take home. Lakini nikaingia kufanya mishe zangu kwa maamuzi Binafsi , baadae mke na dada wakaja kunishangaa maana Nikawa na limitless income Halafu muda Nikawa ninao wa kutosha kulea familia pia Nikawa huru kusimamia vitu vyangu. So Amua mwenyewe from your heart. Kama Sauti ya ndani hairidhiki uache kazi basi usiache ila kama ile Sauti imeridhia 100% hakuna kitakqchoharibika achana na hicho kikazi tengeneza pesa zako. Huo muda spend kutengeneza business.
Asante sana kaka.

Umenisaidia sana kimawazo nakushukuru
 
Back
Top Bottom