Napata Mshahara wa laki 3, nataka niache kazi nikajiajiri

Napata Mshahara wa laki 3, nataka niache kazi nikajiajiri

Wakuu.

Mimi nikijana nina fanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa.

Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha.

Hivyo Sehemu nayofanyia kazj kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela nikijumlisha na mahitaji yote ni ndogo sana.

Juzi nssf wamenilipa million 3. Na nina pikipiki nilinunua bodaboda wangu kairudisha so njko nayo.

Nimepata wazo la kuacha kazi nikajiajiri kwa hii Hela niliyoipata ya mafao.

Niliwaza mkoa wa Morogoro au Dodoma.

Ushauri wakuu.
Uza pikipiki uongeze mtaji
kisha Ingia chimbo uanze kuuza NAFAKA.
Ukiwa na 4mil kama mtaji ni pesa mingi sana.

ukiona inapendeza njoo PM nikutaftie mteja wa Boda hio
 
Hiyo ofisi haina allowance nyingine?
Ajira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.

Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.

So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000

So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000

Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000

Jumla kama ya 230000

Nabakiwa na 70000

Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
 
Ajira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.

Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.

So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000

So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000

Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000

Jumla kama ya 230000

Nabakiwa na 70000

Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
Iache..
 
Kwani ukiendelea na ajira huko na biashara huku utashindwa kusimamia?.... Biashara sijui ni upande wangu lkn kwasasa naona ni nzito sana!... Usiache kazi kwanza fikiria namna bora ya kuendesha biashara huku ukiwa kazini.
Kazi ya laki 3 ndo unamshauri mtu asiache kazi [emoji3]

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu.

Mimi nikijana nina fanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa.

Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha.

Hivyo Sehemu nayofanyia kazj kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela nikijumlisha na mahitaji yote ni ndogo sana.

Juzi nssf wamenilipa million 3. Na nina pikipiki nilinunua bodaboda wangu kairudisha so njko nayo.

Nimepata wazo la kuacha kazi nikajiajiri kwa hii Hela niliyoipata ya mafao.

Niliwaza mkoa wa Morogoro au Dodoma.

Ushauri wakuu.
Link na yule jamaa wa tiktok anaeuza tishet za toka magetoni na tafuta hela uwe moja ya mawakala wake nadhani uhitaji ni mkubwa utafanya kazi
 
Kwani ukiendelea na ajira huko na biashara huku utashindwa kusimamia?.... Biashara sijui ni upande wangu lkn kwasasa naona ni nzito sana!... Usiache kazi kwanza fikiria namna bora ya kuendesha biashara huku ukiwa kazini.
Uchawi wa biashara nyingi hizi za uchuuzi, selling goods, nyingi ya hizi biashara uchawi wake ni mtaji, mtaji mkubwa ndiyo unakupa mapato makubwa.
Iko hivo.......
 
Ajira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.

Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.

So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000

So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000

Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000

Jumla kama ya 230000

Nabakiwa na 70000

Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
Ooh oooh aseee hapa ni kujipanga mzeeya.......
 
Naona kama nia unayo lakini sababu hauna...

UShauri tu, kabla ya kuacha kazi panga jambo utalotaka lifanya na namna ya kulifanya...
Aanze KULIFANYA likisimama aache kazi. Biashara bwana.. Muanzisha uzi ulishawahi fanya biashara?
 
Back
Top Bottom