HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Ndo ushauri wangu huo.. mtaani sio kurahisi kama uonavyo ..kuna safari ndefu mpaka uwafikie wanao kuvutiaNishauri kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ushauri wangu huo.. mtaani sio kurahisi kama uonavyo ..kuna safari ndefu mpaka uwafikie wanao kuvutiaNishauri kaka
Asante sana ila kitu nilichosomea sijawahi kukaa mtaani zaidi ya mwezi namshukuru Mungu kwa hiloKaka maisha unayo ishi unayajua wewe.... .. kama unaona ukiacha kazi ndo utafanikiwa haraka sawa we acha halafu ingia mtaani uone. Kila la heri.
Kwani kuwa na mke kunakuzuiaje kula mbususu za form four DNina mke kaka....
Uza pikipiki uongeze mtajiWakuu.
Mimi nikijana nina fanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa.
Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha.
Hivyo Sehemu nayofanyia kazj kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela nikijumlisha na mahitaji yote ni ndogo sana.
Juzi nssf wamenilipa million 3. Na nina pikipiki nilinunua bodaboda wangu kairudisha so njko nayo.
Nimepata wazo la kuacha kazi nikajiajiri kwa hii Hela niliyoipata ya mafao.
Niliwaza mkoa wa Morogoro au Dodoma.
Ushauri wakuu.
Nimekaa kaka hata kazi yenyewe niliyopata nilikuwa nishakaa mtaani kama miezi hiviNdo ushauri wangu huo.. mtaani sio kurahisi kama uonavyo ..kuna safari ndefu mpaka uwafikie wanao kuvutia
Sasa kwanini hiyo biashara asisimamie mkeo huku we unapambana upate ajiraNina mke kaka....
Ajira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.
Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.
So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000
So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000
Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000
Jumla kama ya 230000
Nabakiwa na 70000
Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
Hesabu zako ni za sayari gani kiongozi?Kwa mshahara wa laki 3, bora akapige mishe nyingine.
Laki 3 means kwa siku anapata buku 1.
Iache..Ajira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.
Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.
So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000
So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000
Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000
Jumla kama ya 230000
Nabakiwa na 70000
Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
Kama we mshauri wa kujiajiri huu ndo uwezo wako wa hesabu kuwa 300,000÷30 ni buku 1 hiyo biashara hamtoboiKwa mshahara wa laki 3, bora akapige mishe nyingine.
Laki 3 means kwa siku anapata buku 1.
itakua kakosea kwa buku ni 30K sio laki 3Sijui kapiga hesabu za wapi...
Kazi ya laki 3 ndo unamshauri mtu asiache kazi [emoji3]Kwani ukiendelea na ajira huko na biashara huku utashindwa kusimamia?.... Biashara sijui ni upande wangu lkn kwasasa naona ni nzito sana!... Usiache kazi kwanza fikiria namna bora ya kuendesha biashara huku ukiwa kazini.
Mimi mwenyewe nimeshangaaLaki 3 kwa siku ni buku 1?
Inashangaza hapo ni elfu 10 per dayMimi mwenyewe nimeshangaa
Link na yule jamaa wa tiktok anaeuza tishet za toka magetoni na tafuta hela uwe moja ya mawakala wake nadhani uhitaji ni mkubwa utafanya kaziWakuu.
Mimi nikijana nina fanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa.
Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha.
Hivyo Sehemu nayofanyia kazj kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela nikijumlisha na mahitaji yote ni ndogo sana.
Juzi nssf wamenilipa million 3. Na nina pikipiki nilinunua bodaboda wangu kairudisha so njko nayo.
Nimepata wazo la kuacha kazi nikajiajiri kwa hii Hela niliyoipata ya mafao.
Niliwaza mkoa wa Morogoro au Dodoma.
Ushauri wakuu.
Uchawi wa biashara nyingi hizi za uchuuzi, selling goods, nyingi ya hizi biashara uchawi wake ni mtaji, mtaji mkubwa ndiyo unakupa mapato makubwa.Kwani ukiendelea na ajira huko na biashara huku utashindwa kusimamia?.... Biashara sijui ni upande wangu lkn kwasasa naona ni nzito sana!... Usiache kazi kwanza fikiria namna bora ya kuendesha biashara huku ukiwa kazini.
Ooh oooh aseee hapa ni kujipanga mzeeya.......Ajira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.
Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.
So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000
So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000
Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000
Jumla kama ya 230000
Nabakiwa na 70000
Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
Aanze KULIFANYA likisimama aache kazi. Biashara bwana.. Muanzisha uzi ulishawahi fanya biashara?Naona kama nia unayo lakini sababu hauna...
UShauri tu, kabla ya kuacha kazi panga jambo utalotaka lifanya na namna ya kulifanya...