Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
🤣🤣🤣🤣Laki 3 kwa siku ni buku 1?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Laki 3 kwa siku ni buku 1?
Usicheke 😂🤣🤣🤣🤣
Tekeleza huu ushauri mara mojaKazi usiache. Piga kazi mchana, jioni piga boda mpaka saa nne usiku.
Hiyo ela weka akiba usikilizie kwanza.
Kwa maelezo yako naona unaishi juu ya kipato,kwa kamshahara hako unathubutu kupanga kwa 60,000 kwa mwezi,duuhAjira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.
Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.
So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000
So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000
Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000
Jumla kama ya 230000
Nabakiwa na 70000
Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
AiseeUsicheke 😂
Apige had saa nne ashakuambiya akiingiya job asubuhi Hadi saa 4 usiku so apige boda mda gani hapo
Hiyo laki 3 ni basic or take home?Ajira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.
Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.
So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000
So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000
Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000
Jumla kama ya 230000
Nabakiwa na 70000
Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
Kwani ukiendelea na ajira huko na biashara huku utashindwa kusimamia? Biashara sijui ni upande wangu lkn kwasasa naona ni nzito sana! Usiache kazi kwanza fikiria namna bora ya kuendesha biashara huku ukiwa kazini.
Kumbuka huyo anatoka kazini saa 4 uck.. mshauri ukilizingatia hiloKwani ukiendelea na ajira huko na biashara huku utashindwa kusimamia? Biashara sijui ni upande wangu lkn kwasasa naona ni nzito sana! Usiache kazi kwanza fikiria namna bora ya kuendesha biashara huku ukiwa kazini.
True wao mshahara wa masaa huku unalipwa mwezi.Halafu watu wanaponda diaspora
Hiyo laki 3 mbona mshahara wa masaa 5 tu nchi zingine?
Kweli maisha magumu sana
Umemaliza kwa ghadhabu na ukweli mtupuTrue wao mshahara wa masaa huku unalipwa mwezi.
Mshahara wa Saa moja kule,bongo mtu analipwa kwa wiki. Hata mshahara wa siku bongo haufiki wa nusu Saa kule, kwa siku bongo viwandani wanalipa kuanzia sh elf 4 hadi elf 6,mtaani deiwaka kuanzia elf 10 KWA siku haizidi 15 na zote hizi ni kazi za suluba hadi utajuta kwann ulikimbia shule.