Umeme umekatika. Usinambie mshapewa 5-0Hebu tulia kwanza😀
KwannBado naona upo kwenye tittle race 🤣🤣🤣
Hakika hakuna jambo linalodumu na inatakiwa kufahamu hakuna mtu asiyekuwa na changamoto lakini wengine Huwa wanazificha kwa tabasamu japo mioyo Yao inavuja damu. Kinachowaumiza wengi na kuwaacha na maumivu moyoni ni ile hali ya kuangalia maisha ya watu wengine mitandaoni.Maneno mazuri lakini watu wengi sio waaminifu ,hasa marafiki wanaumiza mno mm huwa nayazika moyoni kimtindo ila muhimu kuwa na subra Kila jaribu huwa mlango wa kutokea
🙄sijui hata nimewaza nini 😅
Na kifua cha kutunza unacho pia? Hebu tuhakikishie hapa.😄Njoo uniambie. Nina sikio la kusikiliza, na mdomo wa kuitikia mhh na eheee. 😀😀😀
Haya sasa, fungua inbox wajeNi muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
Chelsea imekuwa punching bag kila timu inajichukulia points tu sasa hivi. Ombeni Cytzen apoteze japo game mbili na nyingi mshinde game zote 😀😀😀Kwann
Ninacho Shem. Nina uhakika na hiloNa kifua cha kutunza unacho pia? Hebu tuhakikishie hapa.😄
Real watu wanapitia magumu sana ila tukionawatu wanafurahi tunahisi wakopoa lkn kilamtu ana mzigowake mwingine ni mzito kukuzidi tukubali changamoto zitufunze ila zisituvunje moyo safar Bado sanaHakika hakuna jambo linalodumu na inatakiwa kufahamu hakuna mtu asiyekuwa na changamoto lakini wengine Huwa wanazificha kwa tabasamu japo mioyo Yao inavuja damu. Kinachowaumiza wengi na kuwaacha na maumivu moyoni ni ile hali ya kuangalia maisha ya watu wengine mitandaoni.
Wahuni wanaulizaga "chura ipo"? Na mimi inabidi niulize hivohivoNi muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
kumbe ww tena ni shabiki wa mpira , aseeMaumivu waliyopitia watu wa Arsenal msimu uliopita unayajua? And now wako wapi?
Chelsea sahivi wana hali gani? Wanashuka daraja. Lakini bado wana imani, msimu ujao watatoboa.
Basi nawe yafaa uwe na subra 😚
Kila gumu lina mlango wa kutokea.
Pole kwa unayopitia. Kama shida ni mtu wa kumwambi, sidhani kama unakosa watu wa karibu unaowaamini.
Ni haramu au?kumbe ww tena ni shabiki wa mpira , asee
Hasa Macelebrity aisee Huwa nawasoma body language zao nagundua Kuna vitu haviko sawa. Hebu jaribu hata kumuangalia Diamond anapozungumza sio anapoimba utagundua Yuko na msongo sana. 😀Real watu wanapitia magumu sana ila tukionawatu wanafurahi tunahisi wakopoa lkn kilamtu ana mzigowake mwingine ni mzito kukuzidi tukubali changamoto zitufunze ila zisituvunje moyo safar Bado sana
Ila imekuwa ghafla sana..!!Oh no. Don’t be that…
Sio kila mtu ana uwezo wa kuvunja upweke alio nao.
Haya mambo ni kama kuumwa tu, ukienda hospital unaweza kujiona wewe hauumwi sababu utakutana na watu wanamaugonjwa hadi utashangaa.Real watu wanapitia magumu sana ila tukionawatu wanafurahi tunahisi wakopoa lkn kilamtu ana mzigowake mwingine ni mzito kukuzidi tukubali changamoto zitufunze ila zisituvunje moyo safar Bado sana
Ni haramu au?
shabiki wa team gani?Ni haramu au?
Lala. Daraja limekatikaDah mlioanza kushabikia Man United enzi za Wayne Rooney na CR 7 enzi za Babu Fergie 🤣🤣🤣
Not our day FC 😂shabiki wa team gani?