Napata wapi mtu wa kuongea naye?

Napata wapi mtu wa kuongea naye?

Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?

Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.

Sijui nifanyeje?
Pole mkuu

Nchini ufarasa umeanzishwa utaratibu wa watu walio single kukutankshwa na kuongee na mtu aliye single pia

Maneno amabayo mtaweza kuongea Ni pmj na ilove u ,lbda good night ,vile ambavyo umevimiss kutoka kwa uwapendao bas wameandaliwa watu watakao kuambia maneno matamu matumu tu ether kwa simu au mkutane mghawani muongee Kam vile wapenzi wa siku nyingi

Hili Jambo ni zuri tafuta sehemu baa nenda siyo lzm unywe pombe tafuta demu mkali muuza bar mnunulie bia na vingwaji huku mnaongea Kisha ukamaliza muage na Wal usichukue namb zake ,

Hali hyo ya upwekee itakusadiaa snaa
 
Namshukuru Mungu no matter how hard the situation is, huwa nahakikisha nina mtu wa kumueleza hata kama dunia yangu inataka kugawanyika vipande vidogo vidogo na akanielewa bila kunihukumu, tena wengine tulikutana tu humu humu JF..!!

Ninachotaka kukuambia ni kuwa humu ndani kuna raia wa kila namna ila bado wapo wale watu ambao ni bora kabisa hutojuta kuwafahamu, tafuta kamtu kako kamoja ambako katakuwa nawe, iwe jua iwe mvua..!!

Pole sana sana kwa unayoyapitia, Mungu atakuvusha salama, msihi tu kuwa kamwe asikuache uaibike, haijalishi itakuwa mbaya kiasi gani ila hatokuacha, na kumbuka kamwe Mungu hawezi kukupa jaribu kubwa kuliko ustahimilivu wako, 'DHAHABU huwezi ng'ara mpaka kwanza upite kwenye moto'..!! USIOGOPE..!
 
Maumivu waliyopitia watu wa Arsenal msimu uliopita unayajua? And now wako wapi?

Chelsea sahivi wana hali gani? Wanashuka daraja. Lakini bado wana imani, msimu ujao watatoboa.

Basi nawe yafaa uwe na subra 😚
Kila gumu lina mlango wa kutokea.
Pole kwa unayopitia. Kama shida ni mtu wa kumwambi, sidhani kama unakosa watu wa karibu unaowaamini.
Asante Swahiba Cha kuongeza kila jumatatu na jumatano usiku awe anasikiliza radio TBC Taifa kuanzia saa nne na robo mpaka saa sita usiku Kuna kipindi kizuri sana. Na wewe uwe unasikiliza anza kesho halafu Alhamis asubuhi nipe mrejesho 😊😊😊
 
Namshukuru Mungu no matter how hard the situation is, huwa nahakikisha nina mtu wa kumueleza hata kama dunia yangu inataka kugawanyika vipande vidogo vidogo na akanielewa bila kunihukumu, tena wengine tulikutana tu humu humu JF..!!

Ninachotaka kukuambia ni kuwa humu ndani kuna raia wa kila namna ila bado wapo wale watu ambao ni bora kabisa hutojuta kuwafahamu, tafuta kamtu kako kamoja ambako katakuwa nawe, iwe jua iwe mvua..!!

Pole sana sana kwa unayoyapitia, Mungu atakuvusha salama, msihi tu kuwa kamwe asikuache uaibike, haijalishi itakuwa mbaya kiasi gani ila hatokuacha, na kumbuka kamwe Mungu hawezi kukupa jaribu kubwa kuliko ustahimilivu wako, 'DHAHABU huwezi ng'ara mpaka kwanza upite kwenye moto'..!! USIOGOPE..!
Aaamina
 
Maumivu waliyopitia watu wa Arsenal msimu uliopita unayajua? And now wako wapi?

Chelsea sahivi wana hali gani? Wanashuka daraja. Lakini bado wana imani, msimu ujao watatoboa.

Basi nawe yafaa uwe na subra 😚
Kila gumu lina mlango wa kutokea.
Pole kwa unayopitia. Kama shida ni mtu wa kumwambi, sidhani kama unakosa watu wa karibu unaowaamini.
Kunitajia timu yangu Sijapenda😀
 
Namshukuru Mungu no matter how hard the situation is, huwa nahakikisha nina mtu wa kumueleza hata kama dunia yangu inataka kugawanyika vipande vidogo vidogo na akanielewa bila kunihukumu, tena wengine tulikutana tu humu humu JF..!!

Ninachotaka kukuambia ni kuwa humu ndani kuna raia wa kila namna ila bado wapo wale watu ambao ni bora kabisa hutojuta kuwafahamu, tafuta kamtu kako kamoja ambako katakuwa nawe, iwe jua iwe mvua..!!

Pole sana sana kwa unayoyapitia, Mungu atakuvusha salama, msihi tu kuwa kamwe asikuache uaibike, haijalishi itakuwa mbaya kiasi gani ila hatokuacha, na kumbuka kamwe Mungu hawezi kukupa jaribu kubwa kuliko ustahimilivu wako, 'DHAHABU huwezi ng'ara mpaka kwanza upite kwenye moto'..!! USIOGOPE..!
Maneno mazuri lakini watu wengi sio waaminifu ,hasa marafiki wanaumiza mno mm huwa nayazika moyoni kimtindo ila muhimu kuwa na subra Kila jaribu huwa mlango wa kutokea
 
Back
Top Bottom