Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kosea ili hakimu akakupe muongozo na kazi ngumu gerezani.Wakuu sote tunajua kaka na dada hairuhusiwi.
Mtoto wa anko kuna jamii haziruhusu ila wengine wanaruhusu.
hivi kuna muongozo wowote mahali wa ndugu gani unaweza kuoana naye na yupi haurusiwi?
Je ni utashi tu au haya yameandikwa mahali?