Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
"Mmeharamishiwa {kuwaoa} mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na ndugu wa kike wa mama zenu {mama wadogo na wakubwa}, na binti wa kaka, na binti wa dada, na mama zenu waliowanyonyesha, na dada zenu wa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu waliozaliwa na wake zenu mliowaingilia, ikiwa hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu, na {pia mmeharamishiwa} wake wa watoto wenu waliotoka katika migongo yenu, na kuwaoa pamoja dada wawili{mtu wa mdogo wake kwa pamoja} isipokuwa yale yaliyokwishapita, hakika amekuwa Allah ni mwingi wa kusamehe mwenye kurehemu.."
Qu'ran 4:23
Hivyo wale ndugu wa kunyonya pia wanaingia hapo, yaani kaka, baba, mjomba, mtoto wa kaka, mtoto wa dada n.k, wanakuwa haramu kwa kunyonya kama wanavyokuwa haramu kwa nasaba, haya ndio yaliyotajwa kwenye sheria ya kiislamu, na Allah ndiye mjuzi zaidi.
Braza Kede
Qu'ran 4:23
Hivyo wale ndugu wa kunyonya pia wanaingia hapo, yaani kaka, baba, mjomba, mtoto wa kaka, mtoto wa dada n.k, wanakuwa haramu kwa kunyonya kama wanavyokuwa haramu kwa nasaba, haya ndio yaliyotajwa kwenye sheria ya kiislamu, na Allah ndiye mjuzi zaidi.
Braza Kede