NBC wanataka TIN na leseni na mali isiyohamishika yaani nyumba sio kiwanja pamoja na bank statement hapo nimekwama aiseeeKigezo namba moja kinachoangaliwa kwenye mkopo ni biashara unayoifanya na ustawi wake ukoje, note lengo la kukukopesha ni wewe urejeshe hela bila inconvenience yoyote... dhamana huwa kitu cha baadae sana kuzingatiwa.
Haya nenda bank sasa uwaambie wewe una miliki kiwanja chenye thaman ya 100m unataka mkopo wa 3m halafu Huna biashara yoyote uone kama watakupa mkopo.
Kwa Mwasonga Nina 2,000 square meters, kama kuna ntu yuko interested anitafuteDogo Kuna mtu anahitaji kiwanja , je unaweza kuwa dalali ukamtafutia huko mwasonga
Aisee lazima ukwame maana hapo Huna kigezo hata kimoja.NBC wanataka TIN na leseni na mali isiyohamishika yaani nyumba sio kiwanja pamoja na bank statement hapo nimekwama aiseee
NAMI Nina shida kama ya mleta mada, na benki waliniambia kitu hiko hikoNaona wanakushauri kwenda benki.... Kiwanja pekee hakitoshi kukupa mkopo kwenye taasisi rasmi Kama benki.... Chanzo chako Cha kipato kitaamua upate mkopo kiasi gani na kiwango Cha marejesho.
Mkuu tungekua mkoa mmoja pengine tungesaidiana..Mimi Nina mali isiyohamishika, ila Sina biashara na Nina uitaji huo wa pesaWakuu nimeenda NBC wanasema hadi mali isiyohamishika iwe ni nyumba kiwanja hakipo sasa inakuwaje
Naelewa mimi mwenyewe niko kwenye miUmejuaje sina hata kimoja mkuu
Ungekua willing na tuko angalau mkoa mmoja ama karibu karibu tungesaidiana mana na Mimi Nina shida kama yako japo tunatofautiana, wewe unachokosa ninacho, Mimi nachokosa wewe unachoNina lesen na Tin hivyo vingine sina
Umesomeka sanaKigezo namba moja kinachoangaliwa kwenye mkopo ni biashara unayoifanya na ustawi wake ukoje, note lengo la kukukopesha ni wewe urejeshe hela bila inconvenience yoyote... dhamana huwa kitu cha baadae sana kuzingatiwa.
Haya nenda bank sasa uwaambie wewe una miliki kiwanja chenye thaman ya 100m unataka mkopo wa 3m halafu Huna biashara yoyote uone kama watakupa mkopo.
Si mbali sana kutoka Kisarawe 2. Lakini pia ni mji unaokuwa kwa kasi sana sasahivi. Prospectus ya mwasonga kwa miaka 7 au 5 to come inaweza kuwa nyingine kabisa
Unahitaji Hati miliki ya kiwanja.Nahitaji mkopo wa million 3 nipo na kiwanja 20×20 kipo kigamboni naomba miongozo
Note: isiwe hizi microfinance
Nenda Bank utaelekezwa utaratibu wa kufuataNahitaji mkopo wa million 3 nipo na kiwanja 20×20 kipo kigamboni naomba miongozo
Note: isiwe hizi microfinance
Mwasonga ipi? Kwa sharifu? Kichangani? Ngoma mapinduzi au hii inayokqmatana na magodani?Mkuu nisaidie nipate mkopo kwa mheshimiwa hapo
Bila hivyo nitapoteza kitu cha thamani kuliko hata hicho kiwanja ndio maana nahitaji mkopoUnahitaji Hati miliki ya kiwanja.
Ila Kwa ushauri NEVER weka bond Mali Yako Kwa pesa. Kheri ufanye kazi au tafuta biashara ufanye kutokana na mshahara ndio ufanye jambo ulilotaka kufanya Kwa huo mkopo