Nape aagiza waliozusha umeme kupanda bei hatua zichukuliwe

Nape aagiza waliozusha umeme kupanda bei hatua zichukuliwe

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Baada ya taarifa kusambaa kuwa bei ya umeme imepanda, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ameagiza wote waliozusha kuhutu taarifa hizo hatua zichukuliwe.

"Uenezaji wa taarifa za uongo kiasi hiki ni uchochezi wenye lengo la kujenga chuki dhidi ya TANESCO na Serikali," - Waziri Nape.
 
wasichengeshe chengeshe, ki ukweli umeme umepanda bei, unit unazopata leo mwezi wa 6 kwa kununua umeme wa elfu10 siyo sawa na unit ulizo pata kwa kununua umeme wa elfu 10 kwa mwezi wa 4!
 
Ushahidi huu hapa👇
Screenshot_20220613-091242.jpg

👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220613-091249.jpg
    Screenshot_20220613-091249.jpg
    91.3 KB · Views: 8
Kwenye katiba mpya umeme umeandikwa utakuwa unauzwa Tsh ngapi.?
 
Kwenye katiba mpya umeme umeandikwa utakuwa unauzwa Tsh ngapi.?
Kuna watu bado hamjui maana ya katiba?. Katiba itaweka vipengere kama hivyo waziri hawezi kulala tu na kushauriana na mke wake, kesho anaanzisha tozo,ama anapandisha bei ya umeme bila kupitia proces ambazo wananchi watakubaliana nazo ama kuzikataa.
 
Kuna watu bado hamjui maana ya katiba?. Katiba itaweka vipengere kama hivyo waziri hawezi kulala tu na kushauriana na mke wake, kesho anaanzisha tozo,ama anapandisha bei ya umeme bila kupitia proces ambazo wananchi watakubaliana nazo ama kuzikataa.
N nchi gani kwenye hii dunia serikali inauliza watu wake wanataka/wanashauri nini then serikali ifanye.?
 
N nchi gani kwenye hii dunia serikali inauliza watu wake wanataka/wanashauri nini then serikali ifanye.?
Karibu nchi zote zenye domocrasia,mambo yote makubwa wanashirikishwa wananchi kupitia wabunge. Ni hapo tu katiba haifuatwi,waziri anaweza akalala asubuhi akamka na wazo lake tayari kwenye utekelezaji
 
Back
Top Bottom