Nape aanzishe haraka uchunguzi wa sakata la uvamizi Clouds Media

Nape aanzishe haraka uchunguzi wa sakata la uvamizi Clouds Media

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Kama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?

Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika kabisa ile inaenda kinyume na katiba yetu lakini pia kinyume na haki za binadamu.

Uchunguzi ufanyike ili kama kuna wenye hatia basi wafikishwe mahakamani wakajibu jinai zao kikubwa haki itendeke.

Lazima mfuate kauli ya Rais alisema tutendewe haki kwahiyo wasaidizi wa Rais lazima mtutendee haki sisi wananchi wake.
 
Hayo ndio maendeleo mnayo tuma viongozi wenu siyo. Je, akifuatilia yana faida gani kwa jamii mmesahau huko bei ya kuunganishiwa umeme mijini imepanda, ajira hakuna,n.k Harafu baada ya kuomba maendeleo unaomba uchunguzi ambao hauna faida.
 
Henry Kisanduku na bashite awaamini sijui Wana hali gani huko.
 
Watu wanawaza tunaendaje kulipa mikopo mama anayokopa hovyo hovyo wewe unawaza starehe za watu kweli watanzania ni wepesi kuwatawala.
 
Kama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?

Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika kabisa ile inaenda kinyume na katiba yetu lakini pia kinyume na haki za binadamu.

Uchunguzi ufanyike ili kama kuna wenye hatia basi wafikishwe mahakamani wakajibu jinai zao kikubwa hakiitendeke
Lazima mfuate kauli ya Rais alisema tutendewe haki kwahiyo wasaidizi wa Rais lazima mtutendee haki sisi wananchi wake.
Maskini makonda
 
BASHITE anatamani kulia
Kama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?

Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika kabisa ile inaenda kinyume na katiba yetu lakini pia kinyume na haki za binadamu.

Uchunguzi ufanyike ili kama kuna wenye hatia basi wafikishwe mahakamani wakajibu jinai zao kikubwa hakiitendeke
Lazima mfuate kauli ya Rais alisema tutendewe haki kwahiyo wasaidizi wa Rais lazima mtutendee haki sisi wananchi wake.
 
Kama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?

Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika kabisa ile inaenda kinyume na katiba yetu lakini pia kinyume na haki za binadamu.

Uchunguzi ufanyike ili kama kuna wenye hatia basi wafikishwe mahakamani wakajibu jinai zao kikubwa haki itendeke.

Lazima mfuate kauli ya Rais alisema tutendewe haki kwahiyo wasaidizi wa Rais lazima mtutendee haki sisi wananchi wake.
Akianza mambo ya reverse hata fika kokote. Dunia ya Leo ni ubunifu na kusonga mbele. Nape anajua hilo.
 
Akianza mambo ya reverse hata fika kokote. Dunia ya Leo ni ubunifu na kusonga mbele. Nape anajua hilo.

Lazima afanye kazi zote tunachotaka ni haki tu
 
Back
Top Bottom