mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Wakumfunga makonda ni Samia PEKE YAKE.
Subiri uone akishaapishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri uone akishaapishwa
Unawashwa kwenye tundu moja wapo? Hii inatusaidia vipi sisi wananchi kulipa deni la trillion 10 lililokopwa ndani ya miezi 9? Au hii inatusaidia nini sisi watz?Kama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?
Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika kabisa ile inaenda kinyume na katiba yetu lakini pia kinyume na haki za binadamu.
Uchunguzi ufanyike ili kama kuna wenye hatia basi wafikishwe mahakamani wakajibu jinai zao kikubwa haki itendeke.
Lazima mfuate kauli ya Rais alisema tutendewe haki kwahiyo wasaidizi wa Rais lazima mtutendee haki sisi wananchi wake.
Itasadia kumnyoosha yule kenge aliyetajwa kuzuia wenzake kuishiInatusaidiaje sisi Wananchi?
Akishanyooshwa inatusaidia nini sisi watz? Haya ndio mliotuma watumishi wakafanye? Kunyoosha watu?Itasadia kumnyoosha yule kenge aliyetajwa kuzuia wenzake kuishi
Waliosema jinai haishi hawakukosea my Lady.Hayo ndio maendeleo mnayo tuma viongozi wenu siyo. Je, akifuatilia yana faida gani kwa jamii mmesahau huko bei ya kuunganishiwa umeme mijini imepanda, ajira hakuna,n.k Harafu baada ya kuomba maendeleo unaomba uchunguzi ambao hauna faida.
Kuhusu ubunifu kwenye wizara hilo tutashughulika nalo, ila yule jamaa kumtia adabu kama alivyokuwa anawafanyia wenzie hilo sio swala la kuuliziaAkianza mambo ya reverse hata fika kokote. Dunia ya Leo ni ubunifu na kusonga mbele. Nape anajua hilo.
Jinai huwa haifi, lakini aoneshe Ukomavu kwa kutokufukua makaburi.Kama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?
Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika kabisa ile inaenda kinyume na katiba yetu lakini pia kinyume na haki za binadamu.
Uchunguzi ufanyike ili kama kuna wenye hatia basi wafikishwe mahakamani wakajibu jinai zao kikubwa haki itendeke.
Lazima mfuate kauli ya Rais alisema tutendewe haki kwahiyo wasaidizi wa Rais lazima mtutendee haki sisi wananchi wake.
Unapata faida gan kuongea uongo kima wewe??Unawashwa kwenye tundu moja wapo? Hii inatusaidia vipi sisi wananchi kulipa deni la trillion 10 lililokopwa ndani ya miezi 9? Au hii inatusaidia nini sisi watz?
Lazima wanyooshwe wapumbavu nyie hamuwez kufanya ujinga Kama ule uachwe salamaAkishanyooshwa inatusaidia nini sisi watz? Haya ndio mliotuma watumishi wakafanye? Kunyoosha watu?
Deni limekuwa kwa trillion 10 ndani ya miezi 9, limeongezekaje? Trillion 2 za Covid 19, na dollar billion3 (trillion 8), jumla trillion ngapi?Unapata faida gan kuongea uongo kima wewe??
Tril 10 zilikopwa lin??
Kwahiyo Nape kapewa wizara ya kunyoosha watu? Au kuwa kwake waziri kuna uhusiano gani na uwezo wa kunyoosha watu?Lazima wanyooshwe wapumbavu nyie hamuwez kufanya ujinga Kama ule uachwe salama