Wanampima akili awe makini sana atulie apige kazi yeye ndiye aliangamiza mhimili wa habari tunamfahamu.
Acha afute nnya yake mwenyewe mtoto wa Mark.Atarekebisha na sheria zote mbovu za meko anafuta halafu tunaanza kutumia sheria za Bi Mwarabu
Maskini makondaKama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?
Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika kabisa ile inaenda kinyume na katiba yetu lakini pia kinyume na haki za binadamu.
Uchunguzi ufanyike ili kama kuna wenye hatia basi wafikishwe mahakamani wakajibu jinai zao kikubwa hakiitendeke
Lazima mfuate kauli ya Rais alisema tutendewe haki kwahiyo wasaidizi wa Rais lazima mtutendee haki sisi wananchi wake.
Kama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?
Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika kabisa ile inaenda kinyume na katiba yetu lakini pia kinyume na haki za binadamu.
Uchunguzi ufanyike ili kama kuna wenye hatia basi wafikishwe mahakamani wakajibu jinai zao kikubwa hakiitendeke
Lazima mfuate kauli ya Rais alisema tutendewe haki kwahiyo wasaidizi wa Rais lazima mtutendee haki sisi wananchi wake.
Atarekebisha na sheria zote mbovu za meko anafuta halafu tunaanza kutumia sheria za Bi Mwarabu
Akianza mambo ya reverse hata fika kokote. Dunia ya Leo ni ubunifu na kusonga mbele. Nape anajua hilo.Kama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?
Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika kabisa ile inaenda kinyume na katiba yetu lakini pia kinyume na haki za binadamu.
Uchunguzi ufanyike ili kama kuna wenye hatia basi wafikishwe mahakamani wakajibu jinai zao kikubwa haki itendeke.
Lazima mfuate kauli ya Rais alisema tutendewe haki kwahiyo wasaidizi wa Rais lazima mtutendee haki sisi wananchi wake.
Akianza mambo ya reverse hata fika kokote. Dunia ya Leo ni ubunifu na kusonga mbele. Nape anajua hilo.
Endelea kuota.
Wakishika mpini uwa wanabadilika hao
Maskini makonda