Nape ajitafakari kama kuna haja ya kuendelea kuwa waziri, kwenda Chato na kwenda kanda ya ziwa

Nape ajitafakari kama kuna haja ya kuendelea kuwa waziri, kwenda Chato na kwenda kanda ya ziwa

Jamaa kaongea kweli sema tatizo lipo katika uwasilishaji wake...

Ila kweli Nape ajitafakari...asiwe na Mihemko kupitiliza.Akumbuke aliwahi kwenda Ikulu kuomba msamaha na kukiri JPM ni kama mzazi kwake, kweli walisamehana.

Sasa leo bado analo la Moyon na kuropoka akisahau JPM bado anawafuasi kweli mpaka sasa.

Ita mchafua hii ajirekebishe.
Siyo walisameheana JPM alimsamehe .kijasho kama.chote leo Hangaya kambeba na mafisadi wenzake anajimwambafy kumnanga. Nawasubiri kwenye campain waendelee kumnanga waone kama kivuli chake hakitawarudisha jalalani .
 
Nape ajitafakari Sasa naona anachofanya kimevuka msitari mwekundu kinaondoa kuvumiliana kama Taifa anaachwa aropoke atakavyo kifo cha Magufuli kina utata mwingi Sana na mashaka yanaongezeka pale watu walio na mipini wanapoamua kuleta kejeli na dharau kwa mwenyekiti wao msitaafu wa chama dharau zimedhidi nape atuambie hizi dharau ndio masharti ya uwaziri aliopewa??au Kuna mengineyo?
Marehemu aongezewe adhabu ya moto. Aliuwa wazalendo wengi sana.
1650281267535.jpg
1647535081369.jpg
1647437506375.jpg
 
Amekosea sana yale maneno,ila kwasababu sisiemu inawenyewe yuko salama ila kiuhalisia Kwa matamshi yake ilitakiwa aitwe kikao Cha maadili.

Mleta Uzi umekosea kuweka Kanda hapo japo hoja yako si ya kupuuzwa Kwa maneno aliyotamka Nape
Yule broo Nape amekaa kama Mswahili flan hivi...
 
Back
Top Bottom