Nape ajitafakari kama kuna haja ya kuendelea kuwa waziri, kwenda Chato na kwenda kanda ya ziwa

Siyo walisameheana JPM alimsamehe .kijasho kama.chote leo Hangaya kambeba na mafisadi wenzake anajimwambafy kumnanga. Nawasubiri kwenye campain waendelee kumnanga waone kama kivuli chake hakitawarudisha jalalani .
 
Marehemu aongezewe adhabu ya moto. Aliuwa wazalendo wengi sana.
 
Amekosea sana yale maneno,ila kwasababu sisiemu inawenyewe yuko salama ila kiuhalisia Kwa matamshi yake ilitakiwa aitwe kikao Cha maadili.

Mleta Uzi umekosea kuweka Kanda hapo japo hoja yako si ya kupuuzwa Kwa maneno aliyotamka Nape
Yule broo Nape amekaa kama Mswahili flan hivi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…