Nape amuombe radhi Tundu Lissu, sio kosa kumuita Rais Samia Mzanzibari, ni takwa la Katiba ya Zanzibar

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Salam Wakuu,
Tumemuona Waziri wa Habari, Teknolojia na Mawasiliano akimkemea na kumwagia shombo Lissu ndani ya Bunge kua Lissu amefanya ubaguzi kumuita Rais Samia mzanzibari ambae anatawala Tanganyika.

Naomba tusome kidogo katiba ya Zanzibar



Tumsikilize Rais Samia mwenyewe anajitambulidhaje?!!
Your browser is not able to display this video.


Nape na FISIEMU wengine, oops- CCM wengine tunasubiria tamko lao dhidi ya Mbunge aliewataka Watanganyika waende Zanzibar kwa kutumia passport,huo sio ubaguzi?!

NB-;
Tazama na ajira za kazi za serikali huko Zanzibar masharti wanayoweka,kama sio ubaguzi ni nini?!! Huku Bara wanabaguliwa kwenye ajira?!!
 
Hivi ukimuangalia Nape,anaonekana kama ni mtu wa kusikiliza,kupokea,kuchambua na kutoa jawabu kwenye mambo makubwa anayokutana nayo kweli?
 
Hivi ukimuangalia Nape,anaonekana kama ni mtu wa kusikiliza,kupokea,kuchambua na kutoa jawabu kwenye mambo makubwa anayokutana nayo kweli?
Kwa kua kuna watu wamempa madaraka makubwa, pengine kushinda uwezo wake basi hatuna budi kumkemea na kumtaka aombe radhi na ajitafajari,kukaa kimya ni kuunga mkono impunity yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…