luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Nape asisahau waliokuwa viongozi waandamizi wa hiyo serikali anayoilaumu ndio hawa waliopo kwenye serikali mpya anayojipendekeza kwao ili apate teuzi.
Na msilete zile sababu za kukariri kwamba wasingeweza kumzuia Magufuli kwasababu alikuwa katili, kama waliona tatizo lipo na halifanyiwi kazi wote wangetakiwa kujiuzulu ili kuonesha kutokubaliana nae, lakini kukaa kwao kimya maana yake walimuunga mkono.
Anyway, nimemkumbuka Nape siku ile aliyoenda pale ikulu baada ya kuomba msamaha, alipopiga picha na Magufuli akiwa ameweka mikono yake karibu na paji la uso kama vile anamsujudia mwanadamu yule anayemuita leo mwizi.
Unarusha chnga machoni kujaribu kuchanganya watu.Kwaiyo ata hii Trillion 1.3 ya IMF unataka kumsingizia Magufuli...!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahahahahahaha.............Usitoke nje ya mada
Tunazungumzia miaka mitano ya Magufuli amekopa trillion 20
Zimetumikaje...????
KATIBA haitetei wezi.Tatizo la nchi hii ni KATIBA imemuumba Rais asiyehojiwa maamuzi na matendo yake. Hata huyu wa sasa atafanya madudu na tutaishia kumtukuza , badala ya Mungu wetu. Tatizo letu ni KATIBA
Propaganda za wanafiki walio na chuki na magufuli wamepata chaka la kuongeleaJamaa lilikua pigaji kichizi,huku linajificha nyuma ya wamachinga.
Anakopa matrilioni huko nje akija hadharani Hana aibu kabisa anasema nchi hii Ni tajiriiii saaana,sisi ni donor kantreee.
Pole Sana mjane wake.Propaganda za wanafiki walio na chuki na magufuli wamepata chaka la kuongelea
Mimi nashindwa kuamini kuwa Magufuli was double face.Unachukua mkopo kwa siri, unatumia kwa siri, halafu mbele ya wananchi unawaambia nchi hii ni tajiri sana, mabeberu hatuwataki.
Jamaa alikuwa bonge la msanii.
Pamoja na mapungufu ya Nape, lakini kwa hili namuelewa.
Uchunguzi ufanyike ili kubaini matumizi ya mikopo hiyo.
Wonders will never end in Tanzania.Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri
Nape ameongeza kuwa Serikali ya awamu ya 5 ilikopa mikopo mingi huku asilimia 40 ya mikopo hiyo ikiwa ni ya kibiashara hivyo kuwa na riba kubwa
Ameongeza kwa kutaka uchunguzi ufanyike juu ya mikopo hiyo na ilinganishwe na thamani ya miradi ambayo mikopo hiyo ilifanya
Ameipongeza Serikali ya awamu ya 5 kwa kuweka wazi mkopo wa 1.3 trilioni iliyokopa kitu ambacho hakikuwepo kipindi kilichopita na kutaka uwazi huu uigwe
Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri
Nape ameongeza kuwa Serikali ya awamu ya 5 ilikopa mikopo mingi huku asilimia 40 ya mikopo hiyo ikiwa ni ya kibiashara hivyo kuwa na riba kubwa
Ameongeza kwa kutaka uchunguzi ufanyike juu ya mikopo hiyo na ilinganishwe na thamani ya miradi ambayo mikopo hiyo ilifanya
Ameipongeza Serikali ya awamu ya 5 kwa kuweka wazi mkopo wa 1.3 trilioni iliyokopa kitu ambacho hakikuwepo kipindi kilichopita na kutaka uwazi huu uigwe
You are right eliakeem.Okay, if that was the case, then, that was just a syndication loan from several banks. That is not an issuance of the bonds. Borrowing from the public.
Mi naona alikopa kwa fujo,akijua ata rest in peace mapema.alikua na ubabe wa kilofa sanaMimi nashindwa kuamini kuwa Magufuli was double face.
Transparency katika manunuzi ya vitu vikubwa kama ndege za ATCL,Au ujenzi wa Airport ya Chato vilifanywa kwa usiri.
Hata kama alinunua wapinzani kwa KUUNGA JUHUDI bado pesa ya manuzi ni pesa ya mboga sio matrillioni.
Lakini Magufuli alituambia hiyo miradi mikubwa SGR,Bwawa la Nyerere ,Daraja la Busisi,Mahospitali,mabarabara tunajenga kwa pesa zetu yaani kodi zetu.
Lakini kuna wakati Magufuli alikopa kama Benki ya Dunia,European Union,Serikali za Uingereza, Marekani lakini tulionyeshwa live kwenye Luninga ya taifa.
Labda kilichomchanganya ni hizo Private Banks,lakini kwanini akope kwa usiri mwingi?
Au ndio hiyo mikopo ime mature sasa we are paying through the nose aka TOZO?
Kwa afayayo Nape nadhani kuwa anakumbuka kuwa yataka moyo wa ujasiri.Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri
Nape ameongeza kuwa Serikali ya awamu ya 5 ilikopa mikopo mingi huku asilimia 40 ya mikopo hiyo ikiwa ni ya kibiashara hivyo kuwa na riba kubwa
Ameongeza kwa kutaka uchunguzi ufanyike juu ya mikopo hiyo na ilinganishwe na thamani ya miradi ambayo mikopo hiyo ilifanya
Ameipongeza Serikali ya awamu ya 5 kwa kuweka wazi mkopo wa 1.3 trilioni iliyokopa kitu ambacho hakikuwepo kipindi kilichopita na kutaka uwazi huu uigwe
Acheni aende zake watanzania hatuna shuraniMimi nashindwa kuamini kuwa Magufuli was double face.
Transparency katika manunuzi ya vitu vikubwa kama ndege za ATCL,Au ujenzi wa Airport ya Chato vilifanywa kwa usiri.
Hata kama alinunua wapinzani kwa KUUNGA JUHUDI bado pesa ya manuzi ni pesa ya mboga sio matrillioni.
Lakini Magufuli alituambia hiyo miradi mikubwa SGR,Bwawa la Nyerere ,Daraja la Busisi,Mahospitali,mabarabara tunajenga kwa pesa zetu yaani kodi zetu.
Lakini kuna wakati Magufuli alikopa kama Benki ya Dunia,European Union,Serikali za Uingereza, Marekani lakini tulionyeshwa live kwenye Luninga ya taifa.
Labda kilichomchanganya ni hizo Private Banks,lakini kwanini akope kwa usiri mwingi?
Au ndio hiyo mikopo ime mature sasa we are paying through the nose aka TOZO?
Lakini mkuu mambo mengine tufumbe fumbe kulinda legacy mkuu[emoji23][emoji23]Nmejikuta nashangaa wengi humu wakimushambulia Nape. Kwani Nape si mwanaCCm? Kwani CCm mnapenda uwizi?Kwani sera yenu sio Uwazi? Kwanini Msione Nape mwanaCCm makini mana "kweny itikadi kuna kipengele chenu "nitasema kweli daima na Uongo kwangu Mwiko "?.Je hamuoni kuishambulia Hoja ya Nape ni Kutetea Ujambazi wa mchana kweupe?Nape ..pambana Chama kiwe kwenye mstari ikiwezekana hata Iseme tume ya Uchaguzi mapungufu yake, sema mizgo wa gharama za maisha kwa Wananchi baada ya Bunge lenu peke yenu bila upande wa pili, elezea nini umuhimu wenu wa kuwa peke yenu hapo? ELEZEA Kwanini mshikamano wa taifa hili umeddimia sana Kinyume na mawazo ya Mwalm Nyerere ill hali Chama chenu ndy mda wote kinashka hatamu ya nchi?
Sema "nitasema kweli daima ,uongo kwangu ni Mwiko!!"
Ndivyo inavyotakiwa. Hata humu tulimchana Magufuli akiwa hai. Huyo Nape hadi ikulu kwenda kuomba msamaha alikwenda.Lisu alimchana Magufuli mchana kweupe na hata alipompiga risasi bado alimwambia ukweli akiwa mzima
Tuambie alipeleka wapi pesa? Hiyo report ya pccb iweke hapa meku.Achunguzwe mara mbili, wakati PCCB wanashinda mwaka jana kwenye ofisi za cdm ulikuwa jela nini? Waulize PCCB wana taarifa zote.