Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?

Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?

Usitoke nje ya mada
Tunazungumzia miaka mitano ya Magufuli amekopa trillion 20
Zimetumikaje...????
Wakati miezi sita ya mama samia kakopa trillioni 2.4 na mpaka sasa hakuna mradi wowote..maana madarasa na vituo vya afya tumeambiwa ni tozo. Ina maa ndani ya miaka 5 atakopa zaidi ya trillioni 20 huku kukiwa hakuna mradi wowote wa maana.
 
"Tembeeni vifua mberee, Tanzania ni dona kantri"
Legacy ya Mwendawazimu wamefura humu leo, Sukuma GANG wamesahau kabisa hata wao walimtukana na kumdharirisha sana Kikwete na serikali yake, na hawa kina Nape wake.
Hata jina la Sukuma GANG lilitokana na jinsi walivyo kuwa wanatukana watawala waliotangulia na kumsifia Mwendawazimu wa Chato.
 
Kama nakuelewa ila sasa kama Mkapa alikuta deni hilo la 7.4 na madeni mengi yakafutwa kwa ule mpango wa HIPC ilikuwaje ikabaki 8.4? Tusaidie kwenye mahesabu hapo manake naona hakuna usuluhisho?
Rudia kusoma
 
Wakati miezi sita ya mama samia kakopa trillioni 2.4 na mpaka sasa hakuna mradi wowote..maana madarasa na vituo vya afya tumeambiwa ni tozo. Ina maa ndani ya miaka 5 atakopa zaidi ya trillioni 20 huku kukiwa hakuna mradi wowote wa maana.
Nimeeza hapo hadi sasa Mama Samia kakopa trillion 4, wewe unasema trillion 2.4.
Muwe mnafatilia.
Trillion 2.7 zilikuwa za world Bank na trillion 1.3 ni ya IMF
 
Mkuu wa sitoki nje ya mada, Bali haya madeni yote yametumika ndivyo sivyo.
Kujianzishia miradi bila kufuata utaratibu ni upigaji na hili jiwe analo la kujibu.
Mada yangu nimelenga kumsahihisha nape kuhusu Deni alilokopa mkapa na kikwete. mkapa alikola dola bilion 1 na sio 9, kikwete alikopa dola bilion 11 na sio 7.
Hakuna miradi iliyoanzishwa tu. Kila mradi ulikuwa na malengo. Yawezekana sio sasa ila kesho. Hiyo ni vision ya tanzania ijayo kama sio sasa. Ndio maana hata uzinduzi wa miradi ya maji unaambiwa una uwezo wa kuhudumia watu mill 1 ila kwa wakati huu unahudumia watu laki 4.
 
Mkuu nashukuru sana kwa analysis nzuri uliyofanya.Nape sijui hata kama anajua maths.Hivi vitu ni vya wataalam wa model za econometrics. Nape anaamini kuwa kupiga kelele sana ataonekana anafahamu.Nape sijui hata kujumlisha na kutoa anafahamu.Na hajui kuwa anajenga uadui na watu wengi zaidi.
Nape ameamua kwa makusudi au kwa bahati mbaya kudanganya.
Nitamtete mkapa, mkapa hakukopa dola bilion 9. Mkapa kakopa bilion 1
Kikwete hakukopa dola bilion 7, kikwete alikopa dola Bilioni 11
 
Usitoke nje ya mada
Tunazungumzia miaka mitano ya Magufuli amekopa trillion 20
Zimetumikaje...????
Mnamatatizo sana nyie, hivi unadhani Nape hajui kwamba JPM hajakopa hizo pesa? JPM hakukopa na hakulipa, alitaka kujenga nchi kwanza, deni lenye riba linakua kama hulipi.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
mkuu kwa hiyo kipindi shilingi yetu ilipokua sawa na kenya tulikua tunaexport sana?
hatukuwa tuna export sana lakini tulishindwa kumaintain balance baada ya kukua kwa wigo wa biashara ikiwemo uuzaji wa bidhaa zetu na uagizaji wa bidhaa za nje.
Kipindi unachozumngumzia tulikuwa sawa na Kenya ama zaidi kwa swala zima la viwanda. Wakati wenzetu waliendeleza viwanda vyao sisi tuliua vya kwetu.
Ilifikia wakati mpaka majani ya chai tulikuwa tunaagizia kutoka Kenya sasa bado unajiuliza wapi kuna tatizo kwa swala zima la thamani ya pesa yetu? sisi wenyewe tumechangia kuimarisha pesa ya kenya.
 
Nimezisikia na kuzisoma hoja za Nape ila, ukweli kuwa Nape kwa kujua au kutokujua amemuonea mzee mkapa(apumzike salama).
Nape akiwa na confidence ya Hali ya juu amesema mkapa kwa miaka 10 alikopa dola Bilioni 9.
Hii si kweli kabisa, na sijajua kwa nini mh.Nape aliamua kusema hivi.
Mkapa aliingia madarakani 1995 Deni lilikuwa ni dola bilion 7.37. na hadi anaondoka madarakani kwa mwaka wa fedha alioishia nao Deni lilikuwa ni dola Bilioni 8.4
Hivyo kwa miaka 10 mkapa alikopa dola bilion 1 tu ambayo ni sawa na trillion 2.3 ya sasa na sio bilion 9 ambayo ni sawa na trillion 20 Kama alivyosema mh.Nape.
Kutokana na mpango wa kufutiwa madeni Deni lilifutwa na kufikia dola bilion 4 mwaka 2006 mwanzoni, ila likatoka hapo na kufikia dola bilion 15 Hadi kikwete anaondoka.
Hivyo kikwete alikopa dola bilion 11 na sio Bilioni 7 Kama alivyosema Nape
Mh.Nape kwa hesabu ulizopiga unaenda kumhukumu mama Samia bila kujua, maana kwa kipindi chake Cha miezi 6 tu ameshakopa zaidi ya Trillion 4 ( 2.7 za world Bank na 1.3 za IMF).
Mh.Nape umesifia mikopo hii kwa mama, lakini jua kwa kipindi Cha miezi 6 mkopo kwa mama samia umezidi mkopo wa mkapa kwa kipindi chake cha miaka 10.
Lakini mimi sitamhukumu jiwe mwendazake, mama Samia na atayekuja. Kwa sababu;
Kipindi cha mkapa na mwanzoni mwa kikwete mfumuko wa bei ulikua mdogo sana na pesa yetu ilikuwa na thamani kwenye dola 1.
Mfano: kipindi Cha mkapa ili kujenga darasa 1 ilihitaji si zaidi ya mil 5. Hivyo akienda kukopa atakopa pesa kidogo na deni kwa sasa litaonekana dogo kipindi chake.
Sasa hivi kujenga darasa moja si chini ya mil 20, bati kipindi cha mkapa liliuzwa sh.5,000 Ila leo bati ni sh.25,000 hivyo mama Samia akienda kukopa ni lazima atakopa kingi.
Mfano mwingine rahisi tu, Kuna kipindi Cha mkapa bajeti ya nchi ilikuwa Trillion 4 tu.
Lakini sasa hivi hizi trillion 4 ukiweka kwenye barabara tu zote zimeisha kutokana na thamani ya pesa kwa sasa.
Hivyo kwa hesabu rahisi tu kwa kipindi Cha miaka 5 inayokuja mama samia atakopa hadi trillion 30(huu ni ukweli). Na atayekuja baada ya mama Samia nae atakopa zaidi ya hizo 30.
Nini kifanyike ili deni lisikue;
  • kupandisha thamani ya shilingi dhidi ya dola. mfano dola moja iwe sh.1200. na hapo Deni letu litakuwa limeshuka kwa nusu. Badala ya trillion 64 litakuwa trillion 32.
  • kupunguza mfumuko wa bei, mfano bati liwe sh.8000, cement sh.7000, nondo sh.9000.
Hayo yote yanawezekana Ila kwa serikali ambayo itakuwa na vision na watu wenye akili
Hata magufuli amekopa bilion 7 dollar mpaka mauti yanamkuta. Nape nimuongo.
Kakuta deni bilion 18 yeye hadi anafariki lilikuwa bilion 25.
 
Utawala wa sheria kwa kufuata misingi ya democrasia ( wengi wape na kuwatambua minority) + check and balance, accountability ,institutions imara.
Huu ndio ustaarabu(Sivilization)

Kwavile tumeamua kuishi holela bila mipango ndipo haya yanatokea huku tukibaki kurushiana mpira.

Kama ni kuchunguza ni sawa lakini haitasaidia ikiwa system itabaki ni vile vile.
 
Wewe huoni? Hizo interchange mnazopita mnadhani zimetolewa bure? Huoni SGR,huoni NHPP,kweli hutuoni au tunajitoa ufahamu tu Magufuli kafanya parefu Sana na panaonekana hakuna aliyekuwa na huo uthubutu,hili Deni la Magufuli nalipokea kwa mikono miwili na ninafurahi kulipa na wajukuu zangu watamalizia kwa amani maana alikopa kwa faida yetu na kizazi chetu.
Kumbuka hiyo miradi yote jiwe alikuwa akituambia inatekelezwa kwa fedha za ndani.
 
Wanasiasa Kuna wakati wanakuwa kama.wanamuziki,akiona hapati promo,Wala airtime Basi ataibuka na skendo ili mladi tu asikik3,mh. nape alikuwa wapi muda wote kuyahoji haya,lkn pia ,yako mengi pesa za escrow,simbion,mabilion yaliyochotwaga na baali,alikuwa madarakani pia ,hizi Mambo ziliishiwa wapi,na alifanya Nini Kama mh.pale mjengoni.watz wa Sasa sio wa kuwadanganya na cheap politics!! watz wa ss ni waelewa wakisha kuwekea a mark of no.value ,hata udanganye vp unajisumbua,bola utafute namna ya kuwaomba radhi ili at least wakuelewe!!
 
Nimeeza hapo hadi sasa Mama Samia kakopa trillion 4, wewe unasema trillion 2.4.
Muwe mnafatilia.
Trillion 2.7 zilikuwa za world Bank na trillion 1.3 ni ya IMF
Sawa mkuu kwa kunirekebisha. Kama miezi sita ni trillioni 4 basi miaka mitano sawa na trillioni 30 na ushee..
 
Kumbuka hiyo miradi yote jiwe alikuwa akituambia inatekelezwa kwa fedha za ndani.
Kwa kiasi kikubwa pesa ya ndani imehusika pia tambua mradi NHPP hakuna taasisi ilikuwa tayari kutukopesha.
 
Nawapa akili adimu nyie mataga! mnapiga sana kelele! yaani naomba tu atokee jamaa mmoja Mahili, mdiplomatic, kama mimi hivi! ni poa sana!1 sasa huyu jamaa aingie uanachama ndani ya ccm huko!!!

akiwa huko afanye umafia wa aina zoote!! apate U-Rais tu kupitia CCM! akiwa Rais azungushe utawala kadri azungushavyo aongoze awamu moja tu! ndani ya hiyo awamu apangue vinara wote mmoja baada ya mwingine!! wengine vigaggura awafunge tu!

CCM ianze wanachama wapya tena katibu mkuu wake, na top layers ya uongozi wa ccm wawe wahuni tu bodaboda! ma ntilie, wauz Bar, wanafunzi wale wabishi wa UDISM na vyuo vingine Ccm ikisha wekwa ktk hali km hii!! upinzani ni rahisi sana kupenya!

Yani kifupi huyu Rais aiuze CCM kwa stahili hii! kamwe haitakaa irudi madarakani milele! lkn viongozi wa sasa wa upinzani ni mandezi sana!! hayana strategic plan! na sisi watu vichwa wanatuweka pembeni!! hakuna afisa usalama kujipenyeza hapo!!

na kuwajua wale ni rahisi sana siku hizi!!! na kma ikitokea amegundulika tu! anadukua mipango yenu ! au kumhisi ni kifo kina muhusu!tena faster msimcheleweshe mkijua kabisa kuwa ushindi mzuri katka mapambno hutanguliwa na kafara ya damu!! lazima imwagike! Dunia nzima ndi=o ilivo!

tatizo wapinzani hamko serious! msicheke na ccm nyie! Mwenge piga marufuku ndo unawaroga huo! nchi gani Duniani zinakimbiza Mwenge! eti umurike mweee! jua halitoshi?? huko ndo mna rogewa huko!!!!?
 
Serikali makini kila wakati inawajibu wa kufanyaauditing ili kujua pesa ipi ilitumika wapi..Shida ya nape ameiletq hoja kwa njia ya kinyongo na mapambano na hayati..hapo ndo anaharibu lakini serikali inawajibika kuelezea kila mkopo ulikwenda wapi..Mafno kwa miaka 5 serikali imelipaa madeni ya trilliin 50..weka mishahara trillion 35...lakini private sector walikopa doll billion kama 5.Lakini hera ya Sgr na bwawa la rufiji na rusumo inatoka wapi..zote ni humohumo.so hoja ya nape ni sawa lakini near yake ni kuchafua waru kwa njisi alivyoipresent
 
It was through a consortium of many International banks!! I am sure of this, Mustapha Mkullo was finance Minister.

Okay, if that was the case, then, that was just a syndication loan from several banks. That is not an issuance of the bonds. Borrowing from the public.
 
Back
Top Bottom