Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?

Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?

Ya Kikwete ilikopa ngapi ?Sasa mnamuonea Magufuli kwa vile hawezi kusema tena.Wewe Nape unajiona msafi wakati ni fisadi tu.Hivi Magufuli angekuwa ni Rais mstaafu na yupo hai ungetoa hayo maoni ?.Akiwa hai nyote mlimuogopa kama Ukoma. Akiwa kafa muogopeni hivyo hivyo.Idiots.
Safi sana,hakuna ujinga kama kumsema marehemu asiyeweza kujibu hoja au kujitetea!

Mwanaume pekee hapa nchini ni Lisu kidoogo na Membe walijaribu kukabiliana na Magufuli waziwazi. Tena Lisu lilikuwa linamtukana wazwazi kwenye Kampeini ahahahahaha

Sema baada ya Uchaguzi likakimbia ahahahahah maana angelitia finger wallah tena
 
Hii nchi ningipewa mimi niiongoze na kutawala chini ya siku 100 tu ningemaliza deni la taifa. Ila wananchi nitawapelekesha vibaya na kwa fujo kufanya kazi mfululizo na mkong'oto juuu.
 
Hata mbowe achunguzwe, zile posho na mishahara ya wabunge aliyokua anakata tujue imeenda wapi, maana hata ofisi hatuna.
Achunguzwe mara mbili, wakati PCCB wanashinda mwaka jana kwenye ofisi za cdm ulikuwa jela nini? Waulize PCCB wana taarifa zote.
 
hatukuwa tuna export sana lakini tulishindwa kumaintain balance baada ya kukua kwa wigo wa biashara ikiwemo uuzaji wa bidhaa zetu na uagizaji wa bidhaa za nje.
Kipindi unachozumngumzia tulikuwa sawa na Kenya ama zaidi kwa swala zima la viwanda. Wakati wenzetu waliendeleza viwanda vyao sisi tuliua vya kwetu.
Ilifikia wakati mpaka majani ya chai tulikuwa tunaagizia kutoka Kenya sasa bado unajiuliza wapi kuna tatizo kwa swala zima la thamani ya pesa yetu? sisi wenyewe tumechangia kuimarisha pesa ya kenya.
mkuu pesa za mataifa ya kiarabu zinathamani kubwa akati wanaexport zaid bidhaa moja tu ya mafuta tofauti na sie tunaexport vingi, why wao wanamantain thaman za pesa zao?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dhalimu wako bado anakuchapa hata baada ya kufa!

Vipi nasikia mmesusia uchaguzi mdogo,, mmesusia kwani dhalimu wemu bado yupo?

Dhalimu hayupo ila kaacha udhalimu huku nyuma. Hatushiriki ukhanithi, hutaki jinyonge.
 
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema Deni la Taifa limefikia Tsh. Trilioni 64, ambapo awamu ya tano ilikopa Dola Bilioni 9 (takribani Tsh. Trilioni 20) bila kuwa na uwazi
-
Ametaka Deni la Taifa kuchunguzwa na miradi iliyofanywa kwa mikopo katika Serikali ya Awamu ya Tano iangaliwe kama inaendana
-
Aidha, Nape ameshauri uwazi uliopo kwenye Tsh. Trilioni 1.3 za IMF alizokopa Rais Samia uendelee kwa fedha nyingine
-
Kwanini tuanzie kwa JPM tu? Hao wengine waliokopa walitumia vipi?
 
mkuu pesa za mataifa ya kiarabu zinathamani kubwa akati wanaexport zaid bidhaa moja tu ya mafuta tofauti na sie tunaexport vingi, why wao wanamantain thaman za pesa zao?
nchi ngapi duniani zina import mafuta toka kwa waarabu? linganisha wewe unaexport mathalan pamba tani laki moja kwa nchi moja na muarabu anaexport lita laki moja (ni mfano tu) kwa nchi 80 tu kati ya nchi 195 zilizopo duniani, kweli mtakuwa sawa kiuchumi na thamani ya pesa zenu?
 
Ya Kikwete ilikopa ngapi ?Sasa mnamuonea Magufuli kwa vile hawezi kusema tena.Wewe Nape unajiona msafi wakati ni fisadi tu.Hivi Magufuli angekuwa ni Rais mstaafu na yupo hai ungetoa hayo maoni ?.Akiwa hai nyote mlimuogopa kama Ukoma. Akiwa kafa muogopeni hivyo hivyo.Idiots.
Correction, Yanayoogopwa majeshi. Ufisadi wa nape hauhalalishi matumizi mabaya ya fedha ya awamu yoyote. Kama na yeye ni fisadi ashtakiwe. Makundi yanachosha sana. Idiot 2.
 
Nmejikuta nashangaa wengi humu wakimushambulia Nape. Kwani Nape si mwanaCCm? Kwani CCm mnapenda uwizi?Kwani sera yenu sio Uwazi? Kwanini Msione Nape mwanaCCm makini mana "kweny itikadi kuna kipengele chenu "nitasema kweli daima na Uongo kwangu Mwiko "?.Je hamuoni kuishambulia Hoja ya Nape ni Kutetea Ujambazi wa mchana kweupe?Nape ..pambana Chama kiwe kwenye mstari ikiwezekana hata Iseme tume ya Uchaguzi mapungufu yake, sema mizgo wa gharama za maisha kwa Wananchi baada ya Bunge lenu peke yenu bila upande wa pili, elezea nini umuhimu wenu wa kuwa peke yenu hapo? ELEZEA Kwanini mshikamano wa taifa hili umeddimia sana Kinyume na mawazo ya Mwalm Nyerere ill hali Chama chenu ndy mda wote kinashka hatamu ya nchi?
Sema "nitasema kweli daima ,uongo kwangu ni Mwiko!!"
 
Nape pia alichangia hicho kificho (japo siamini kama kiliwepo) kwa kuzuia Bunge live, kubana magazeti ambavyo vyote hivyo ni agents za uwazi; halafu anakuja kuleta unafiki hapa.

Hilo deni lililokua sana miaka mitano alipaswa adadavue ongezeko kiasi gani lilisababishwa na riba zilizotokana na mikopo iliyokopwa na Kikwete, Mkapa na Mwinyi kabla ya kumlaumu JPM.
jiwe alise mwenyewe kua anakopa na hasemi anakopa wapi.
kwa akili zake ndogo alifikili ataishi na nchi milele.

hakuna utawala wa hovyo kama wa jiwe.
 
Back
Top Bottom