Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwahiyo mzee wa legasi ulivyodanganywa kwamba miradi yote inatekelezwa kwa fedha za ndani ulijisikiaje ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo ukienda kuchukua mkopo bank unauacha kwa ma cashier?Tunatekeleza miradi yote kwa fedha za ndani tutembee kifua mberee Tanzania ni tajiri. [emoji1787][emoji1787]
Deni nalo halifichiki kama pembe la ng'ombe [emoji3]
Hizi alijenga kwa pesa za Ndani. Twambieni pesa za mikopo zilifanya nini?NAPE;JPM KALA MKOPO.
Jpm kala mkopo kwa kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Masaa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii imefanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza,sasa hivi ni masaa 5 tu kwa treni ya Umeme ya SGR.
Jpm kala mkopo kwa kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa limekuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.
Jpm kala mkopo kwa kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.
Jpm kala mkopo kwa kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!
Jpm kala mkopo kwa kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.
Jpm kala mkopo kwa kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.
-Kwa nini Jpm alikula mkopo,
JPM alikula mkopo kwa sababu ni Mzalendo na aliyoyafanya kila Mtanzania ameyaona hata watoto wadogo wanajua,Jpm aliyoyafanya yalikuwa damuni mwakw,ukimchana hivi damu yake inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.
-Jpm alikula mkopo mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi aliyofanya Jpm inaonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.
-Mwaka 2016 Jpm alikula mkopo pale alipoanza kwa vitendo kupiga kazi,Wazanzibari walimuita "Bosi kazi" Wazee wa Awamu ya nne waliita nguvu ya soda,lakini siku zilivyozidi kwenda wazee wa kitonga waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano na ukamilishwaji wa ilani ya CCM kwa asilimia 120.
-Jpm kala mkopo katenda haya yafuatayo,wenzangu na Mimi wale walikula mkopo sijui walifanya nini? Nothing to write home about!
1.Hostel za Chuo cha UDSM.
2.Hostel za Askari Magereza.
3.Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 3 zinakuja mwakani).
4.Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo.
5.Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
6.Ujenzi wa Meli kubwa 6 katika Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa.
7.Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
-Mwaka 2017 Jpm alikula mkopo pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.
-Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
-Jpm alikula mkopo kwa kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga.
-Jpm alikula mkopo kwa kuwa katika miaka yake mitano kila upitapo ujenzi ulikuwa unaendelea.
Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.
-Jpm alikula mkopo kwa ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.
-Jpm alikula mkopo kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.
Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
-Jpm kala mkopo kwa kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.
-Jpm kala mkopo kwa usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.
Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, katika miaka yake mitano uongozi ulikuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
@Nape pokea Salaam za mkopo aliokula JPM,hii ni robo tu ya mkopo aliokula JPM.
Tumeanza na Pesa kwanza. Tukimaliza hili mje mtwmabie na wale wasiojulikana nani aliwafadhili na aliwalipa nini na wako wapi.NAPE;JPM KALA MKOPO.
Jpm kala mkopo kwa kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Masaa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii imefanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza,sasa hivi ni masaa 5 tu kwa treni ya Umeme ya SGR.
Jpm kala mkopo kwa kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa limekuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.
Jpm kala mkopo kwa kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.
Jpm kala mkopo kwa kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!
Jpm kala mkopo kwa kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.
Jpm kala mkopo kwa kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.
-Kwa nini Jpm alikula mkopo,
JPM alikula mkopo kwa sababu ni Mzalendo na aliyoyafanya kila Mtanzania ameyaona hata watoto wadogo wanajua,Jpm aliyoyafanya yalikuwa damuni mwakw,ukimchana hivi damu yake inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.
-Jpm alikula mkopo mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi aliyofanya Jpm inaonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.
-Mwaka 2016 Jpm alikula mkopo pale alipoanza kwa vitendo kupiga kazi,Wazanzibari walimuita "Bosi kazi" Wazee wa Awamu ya nne waliita nguvu ya soda,lakini siku zilivyozidi kwenda wazee wa kitonga waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano na ukamilishwaji wa ilani ya CCM kwa asilimia 120.
-Jpm kala mkopo katenda haya yafuatayo,wenzangu na Mimi wale walikula mkopo sijui walifanya nini? Nothing to write home about!
1.Hostel za Chuo cha UDSM.
2.Hostel za Askari Magereza.
3.Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 3 zinakuja mwakani).
4.Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo.
5.Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
6.Ujenzi wa Meli kubwa 6 katika Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa.
7.Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
-Mwaka 2017 Jpm alikula mkopo pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.
-Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
-Jpm alikula mkopo kwa kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga.
-Jpm alikula mkopo kwa kuwa katika miaka yake mitano kila upitapo ujenzi ulikuwa unaendelea.
Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.
-Jpm alikula mkopo kwa ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.
-Jpm alikula mkopo kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.
Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
-Jpm kala mkopo kwa kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.
-Jpm kala mkopo kwa usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.
Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, katika miaka yake mitano uongozi ulikuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
@Nape pokea Salaam za mkopo aliokula JPM,hii ni robo tu ya mkopo aliokula JPM.
Pembe la ng'ombe 😁😁😁😁Tunatekeleza miradi yote kwa fedha za ndani tutembee kifua mberee Tanzania ni tajiri. [emoji1787][emoji1787]
Deni nalo halifichiki kama pembe la ng'ombe [emoji3]
Mnamatatizo sana nyie, hivi unadhani Nape hajui kwamba JPM hajakopa hizo pesa? JPM hakukopa na hakulipa, alitaka kujenga nchi kwanza, deni lenye riba linakua kama hulipi.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mbona Chato International Airport hamuitaji pamoja na ile Ikulu ndogo iliyokuwa inapokea Marais wa nchi jirani....!!?NAPE;JPM KALA MKOPO.
Jpm kala mkopo kwa kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Masaa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii imefanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza,sasa hivi ni masaa 5 tu kwa treni ya Umeme ya SGR.
Jpm kala mkopo kwa kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa limekuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.
Jpm kala mkopo kwa kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.
Jpm kala mkopo kwa kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!
Jpm kala mkopo kwa kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.
Jpm kala mkopo kwa kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.
-Kwa nini Jpm alikula mkopo,
JPM alikula mkopo kwa sababu ni Mzalendo na aliyoyafanya kila Mtanzania ameyaona hata watoto wadogo wanajua,Jpm aliyoyafanya yalikuwa damuni mwakw,ukimchana hivi damu yake inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.
-Jpm alikula mkopo mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi aliyofanya Jpm inaonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.
-Mwaka 2016 Jpm alikula mkopo pale alipoanza kwa vitendo kupiga kazi,Wazanzibari walimuita "Bosi kazi" Wazee wa Awamu ya nne waliita nguvu ya soda,lakini siku zilivyozidi kwenda wazee wa kitonga waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano na ukamilishwaji wa ilani ya CCM kwa asilimia 120.
-Jpm kala mkopo katenda haya yafuatayo,wenzangu na Mimi wale walikula mkopo sijui walifanya nini? Nothing to write home about!
1.Hostel za Chuo cha UDSM.
2.Hostel za Askari Magereza.
3.Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 3 zinakuja mwakani).
4.Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo.
5.Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
6.Ujenzi wa Meli kubwa 6 katika Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa.
7.Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
-Mwaka 2017 Jpm alikula mkopo pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.
-Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
-Jpm alikula mkopo kwa kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga.
-Jpm alikula mkopo kwa kuwa katika miaka yake mitano kila upitapo ujenzi ulikuwa unaendelea.
Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.
-Jpm alikula mkopo kwa ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.
-Jpm alikula mkopo kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.
Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
-Jpm kala mkopo kwa kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.
-Jpm kala mkopo kwa usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.
Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, katika miaka yake mitano uongozi ulikuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
@Nape pokea Salaam za mkopo aliokula JPM,hii ni robo tu ya mkopo aliokula JPM.
Usisahau ujambazi aliowafanyia wafanyabiashara kwa kuiba pesa zao benki,NAPE;JPM KALA MKOPO.
Jpm kala mkopo kwa kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Masaa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii imefanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza,sasa hivi ni masaa 5 tu kwa treni ya Umeme ya SGR.
Jpm kala mkopo kwa kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa limekuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.
Jpm kala mkopo kwa kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.
Jpm kala mkopo kwa kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!
Jpm kala mkopo kwa kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.
Jpm kala mkopo kwa kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.
-Kwa nini Jpm alikula mkopo,
JPM alikula mkopo kwa sababu ni Mzalendo na aliyoyafanya kila Mtanzania ameyaona hata watoto wadogo wanajua,Jpm aliyoyafanya yalikuwa damuni mwakw,ukimchana hivi damu yake inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.
-Jpm alikula mkopo mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi aliyofanya Jpm inaonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.
-Mwaka 2016 Jpm alikula mkopo pale alipoanza kwa vitendo kupiga kazi,Wazanzibari walimuita "Bosi kazi" Wazee wa Awamu ya nne waliita nguvu ya soda,lakini siku zilivyozidi kwenda wazee wa kitonga waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano na ukamilishwaji wa ilani ya CCM kwa asilimia 120.
-Jpm kala mkopo katenda haya yafuatayo,wenzangu na Mimi wale walikula mkopo sijui walifanya nini? Nothing to write home about!
1.Hostel za Chuo cha UDSM.
2.Hostel za Askari Magereza.
3.Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 3 zinakuja mwakani).
4.Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo.
5.Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
6.Ujenzi wa Meli kubwa 6 katika Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa.
7.Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
-Mwaka 2017 Jpm alikula mkopo pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.
-Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
-Jpm alikula mkopo kwa kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga.
-Jpm alikula mkopo kwa kuwa katika miaka yake mitano kila upitapo ujenzi ulikuwa unaendelea.
Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.
-Jpm alikula mkopo kwa ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.
-Jpm alikula mkopo kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.
Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
-Jpm kala mkopo kwa kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.
-Jpm kala mkopo kwa usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.
Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, katika miaka yake mitano uongozi ulikuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
@Nape pokea Salaam za mkopo aliokula JPM,hii ni robo tu ya mkopo aliokula JPM.
Huyu mleta mada atakua mmoja wa wanufaika, ... sio kwa kutetea huko!Naona ujamwelewa Nape wewe, kwenye mamiradi mikubwa hiyo ndipo kwenye upigaji mkubwa, na tulisha sema siku nyingi tu hawamu ya tano itaongoza kwa ufisadi wa kutisha, haya sasa kazi ndio imeanza,
Mdogo mdogo tutaelewana tu.
Jamaa unapata tabu sana kupigia mbuzi gitaa, kamwe hawezi cheza.NAPE;JPM KALA MKOPO.
Jpm kala mkopo kwa kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Masaa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii imefanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza,sasa hivi ni masaa 5 tu kwa treni ya Umeme ya SGR.
Jpm kala mkopo kwa kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa limekuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.
Jpm kala mkopo kwa kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.
Jpm kala mkopo kwa kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.
Jpm kala mkopo kwa kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!
Jpm kala mkopo kwa kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.
Jpm kala mkopo kwa kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.
-Kwa nini Jpm alikula mkopo,
JPM alikula mkopo kwa sababu ni Mzalendo na aliyoyafanya kila Mtanzania ameyaona hata watoto wadogo wanajua,Jpm aliyoyafanya yalikuwa damuni mwakw,ukimchana hivi damu yake inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.
-Jpm alikula mkopo mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi aliyofanya Jpm inaonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.
-Mwaka 2016 Jpm alikula mkopo pale alipoanza kwa vitendo kupiga kazi,Wazanzibari walimuita "Bosi kazi" Wazee wa Awamu ya nne waliita nguvu ya soda,lakini siku zilivyozidi kwenda wazee wa kitonga waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano na ukamilishwaji wa ilani ya CCM kwa asilimia 120.
-Jpm kala mkopo katenda haya yafuatayo,wenzangu na Mimi wale walikula mkopo sijui walifanya nini? Nothing to write home about!
1.Hostel za Chuo cha UDSM.
2.Hostel za Askari Magereza.
3.Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 3 zinakuja mwakani).
4.Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo.
5.Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
6.Ujenzi wa Meli kubwa 6 katika Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa.
7.Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
-Mwaka 2017 Jpm alikula mkopo pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.
-Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
-Jpm alikula mkopo kwa kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga.
-Jpm alikula mkopo kwa kuwa katika miaka yake mitano kila upitapo ujenzi ulikuwa unaendelea.
Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.
-Jpm alikula mkopo kwa ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.
-Jpm alikula mkopo kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.
Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
-Jpm kala mkopo kwa kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.
-Jpm kala mkopo kwa usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.
Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
-Jpm kala mkopo kwa kusimamia nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, katika miaka yake mitano uongozi ulikuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
@Nape pokea Salaam za mkopo aliokula JPM,hii ni robo tu ya mkopo aliokula JPM.
Hizi alijenga kwa pesa za Ndani. Twambieni pesa za mikopo zilifanya nini?