Nape: Bando ni huduma ya ziada, ukitaka lisiishe tumia salio la kawaida. Mbunge ataka liwe kisheria

... Nape kwa hili yuko sahihi. Bando ni added service yenye masharti nafuu ili kuvutia wateja na mojawapo ya masharti hayo ni kikomo cha matumizi.

Ukiifanya huduma hiyo iwe ya lazima kwa kuitungia sheria sio kivutio tena bali ni takwa la kisheria which is not right. Itadumaza ubunifu na kuondoa ushindani.
 
Nape buana ni hopeless ,wanacnhi tunalalamika ,how come umenunua GB 1 ,baada ya dakika moja unaambiwa umeshatumia 75% ya bando lako ,hata kama kuna kitu kilikuwa kinarun background ndio kimalize 750MB ndani ya dakika 1 kwenye network ya kobe(2G/3G)? Hata kama kwenye 4G ndani ya dakika 1 hauwezi kumaliza 750MB.

Makampuni yanachofanya ni kuset price vibaya ,ni kama kwenye dakika ,ukiambiwa dakika 1 kwao sio 60seconds bali ni 45seconds na hivyo hivyo kwenye price ya MB.
 

Katika hili, Nape yupo sawa.

Mitandao ya simu inaweza kuamua ikafuta hizi huduma za bando maana huko zamani hazikuwepo. Tulikuwa tunaweka Vocha tunatumia hivyo hivyo.
 
Sijawahi ona nchi yoyote dunia hii, eti wakupe bando alafu isiwe na kikomo cha muda.. Hilo halipo, ila ukiwa hutaki bando, baki na hela yako unatumia bila kununua bando, which is very expensive..!!

Uwizi mkubwa unafanyika kwenye bando kuisha, yaani GB 2 au 3 say, unakuta within 3 hours haipo, kwa kuperuzi tu, huja download au upload chochote..!!
 
Bahasha,
 
Nape anaweza vipi kuwa waziri? MKe sioni uspecial alio nao ni wa kawaida sana
 

Hicho ndio kinachofanyika. Hizo hela, zote ni serikali inachukua ndio maana Nape anajibu kwa Nyodo. Wananchi tungekuwa na umoja tugomee hata siku tatu kununua huduma toka kwenye hiyo mitandao tutaheshimiana.
 
Mfano Airtel kama una salio la kawaida haikubali Data lazima ujiunge bando, hapo unasemaje?
 
Juzi nanunua bango airtel bango linasoma 1000 mb 500.. nilichopata ni mb 400.. anyway nilipima matumizi ya simu yangu ya bando hayaendani ualisia na makato ya mitandao ya simu.
 
% haijawai Muacha mtu salama, Sio kosa lake shida %
 
Tangu
Tangu nione sijazaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…