Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

Yaani hivyo viguzo vyenu viwili mlivyobakiwa navyo ndo mnapiga kelele namna hii???!!!
Kama mna Nguvu kweli mngekaa kimyaaa huko angani akaavyo mwewe tayari kututia makuchani.
Hiyo mikelele yenu ya majukwaani ni dalili kwamba mmejaa hewa mwashuzi ovyo.

FEDHA na BUNDUKI za UWT na JWTZ ndo zinawafanya mjiamini kiasi hiki??
UWT mnawamwagia fedha JWTZ wamechoka mlo uko kwa mabrigedia tu wengine wamejaa viraka ni walala hoi kuliko mlalahoi wa kawaida.
Tanzania siyo Zimbabwe wala Kenya msijidanganye na msidanganye watu wengine.
Hatusambaratiki, hatutawanyiki wala hatusambazwi.
waje UWT,JWTZ wote kwa pamoja watashindwa mbaya ndembe.

CHADEMA,We are here to stay and get rid of CCM,democratically,no matter all the evil ways CCM have used and those that will use to try to cling on POWER.

Nape anarudia tu kukisema kile ambacho watanzania wanakijua kuhusu chadema.
Kama walivyofanywa MDC kule zimbabwe, ndivyo watakavyofanywa chadema hapa.
2015 ni mwisho wa zama za CHAGA BOYZ katika siasa za tanzania.
Time is running out for you palz
 
Jibu hoja ndugu.mbona unarukaruka kama umekalia sindano????
Huu ni mkakati mpya kuelekea 2015. Kuwabomoa hadi mbaki vumbi.
Na cha msingi ni kwamba ccm wanawajua zaidi watz na nyie mnawajua zaidi wachaga ambao ni miongoni mwa watanzania.
Kufikia 2015, mtakuwa dhaifuuuuuu na baada ya uchaguzi, chadema itakuwa historia.
Vipi mbona hamuongelei matokeo ya chaguzi za vijiji na serikali za mitaa hivi juzi??? Nina hakika mngepata japo 6% ya kura mngepiga filimbi mpaka pasingekalika.
Statistically, mmeshapigika na mikakati yenu ya nchi kutotawalika ime-fail vibaya sana na zaidi imewaweka uchi mbele ya jamii na kutoaminika tena
 

Jina zuri "Notradamme"
Hoja inafaa kwa malipo halali 7,000/= za Tanzania toka idara ya propaganda pale Lumumba.
Ongeza bidii hoja zako zaweza kufikia thamani ya Tsh 10,000 kila moja.
 
Ha haa haa haa......

Kama kweli Chadema inapata hela toka uzunguni na zinaingia nchini kiholela,basi hiyo ni moja ya dalili kuwa Serikali ya CCM iko hoi na nchi haipo salama.

Kwa nchi iliyo makini na imara haiwezekani ishindwe kudhibiti fedha chafu kama hizo halafu ibaki inalalamika kuwa Wapinzani wanapewa hela na Wazungu.

Serikali ina vyombo na mifumo inayoweza kutambua na kudhibiti upokeaji na utumiaji wa fedha hizi kama BOT.

Sasa Nape kutuambia kuwa Chadema wanapewa hela na Wazungu ni kutaka kutuhadaa tu Watanzania,ni kutaka kutuaminisha kuwa Serikali haina uwezo wa kudhibiti upokeaji na matumizi ya fedha hizo.Na kama kweli Serikali yetu haina uwezo wa kudhibiti fedha hiyo basi ni ukweli usiopingika kuwa Serikali ya CCM haina uwezo tena wa kulinda uchumi na maslahi ya Watanzania na hivyo iwaachie wanao:target:weza kudhibiti uchafu huu waongoze Nchi
 
We nape acha kuweweseka,watu wenyewe watachagua watu wanao wataka.unajuaje kama CHADEMA wamepewa pesa na wazungu?,kama sio unafiki huo? acha usamaki wewe!
 
inakuwaje cdm wavuruge katiba wakati ndiyo vinara wa kutaka katiba mpya!ama kweli muda wa kudanganya
sio huu,labda nape aliangalia hadhira aliokuwa anahutubia,siamini kauli kama hii anaweza kuitoa kwa watu wan
aoelewa!zama za kudanganya zilishapitwa na wakati.
 
Sijui ni Wachagga wangapi walimpa Ushindi wa Kishindo SUGU na ZITTO.
Tatizo la Ku copy and Past hata wakati wa kufikiri ndo hili.
Mpanda wamechagua Chadema, Iringa mjini wamechagua Chadema Tarime wamechagua Chadema.
Wachagga ni moja ya makabila yaliyotawanyika sana lakini Population yao si kubwa.
CDM kingekuwa chama cha WASUKUMA na WANYAMWEZI ningetamani kuamini maneno na ndoto zenu.
Akianzisha Chama mchagga ni cha wachagga akianzisha Muislamu hata akiwa mchagga ni cha Waislamu.
Watu mna ukosefu wa vitamini ya mishipa ya fahamu na ubongo.
Mapambano ni hatua na hatua zenyewe tulikwisha anza siku nyingi, ndiyo maana kule Bungeni kuna viti vyenye SUPA GLUU wenyewe wakikaa hawanyenyuki kama kiti cha Mamvi na Capteni Komba na vingine vina MBIGILI wakikaa wenyewe wanasimama kama cha Ndungai.

Nani kaweka Gluu na Mbigili kwenye viti???? CHADEMA.

 
Mawazo ya kitoto kabisa.... haya ni matusi mengine tena kwa watanzania.
 
Nape anatakiwa kujua na kuelewa kwamba Mtanzania wa mwaka 47 siyo mtanzania wa leo.Asome tu alama za nyakati.Ifike mahali siyo kila siku jumatatu.Na pia asiwe kama yule kipofu alipoonyeshwa TEMBO ikawa kila kitu kikubwa kama TEMBO!Watanzania wengi wameelimika kwa sasa.
 

- Sasa nimeelewa kumbe ndio yamekuwa haya, I mean haingii akilini na mafuta wanayochoma na helikopta mahali ambapo magari yanafika kwa urahisi lazima ni mapesa mengi waliyonayo, hapa mjini wamenunua watu wengi sana tusiokubali kununliwa tunakuwa wauza unga na mashoga, hawa jamaa bwana sometimes huwa wananichekesha sana how they operate maana inajisema yenyewe kwamba wana mapesa ya bure huwezi kwenda na helikopta kuhutubia tu wananchi bila uchaguzi something is not very right na matumizi yao ya mapesa!!, Wanayatoa wapi?

Le Mutuz
 
Well said Nganasyo.

Like Makaburu wa Afrika kusin, then had HIRED SOLDIERS to fight for them.
CCM in twenty first century has HIRED DECEIVERS.
They get paid Handsomely by CCM to spread lies while swearing to GOD that they are telling the truth.
Guess who is Funding CCM???? Wazungu Wa Unga!!!!

Kama FEdha ndo ingekuwa kila Kitu Saudi Arabia ingekuwa First World.


 
Watanzania wa leo sio wa enzi za 80`s.watu wana uelewa mkubwa sana.Nape anavyoona watu wametulia wanamsikiliza anafikiri wanamkubali!!watu wametulia wanataka majibu ya hali ngumu ya maisha iliyosababishwa na CCM-bei duni ya pamba,wizi ktk vyama vya ushirika,kodi ya mifungo,huduma duni za afya,maji,elimu,watanzania wa leo katiba mpya maana yake ajira,bodi ya mikopo(HESLB) itoe pesa kwa wote bila upendeleo,mfumuko wa bei udhibitiwe,pembejeo,majosho n.k maskini NAPE auishi dunia tunayoishi sisi
 
Katibu wa Itikadi na uenezi wa Ujinga, sijui kama atafika mbali kwa Hoja zake za kuokoteza
 

​Mkuu, unaweza kutupatia ushahidi hapo kwenye red ili tujiridhishe wenyewe?
 
Mtoto wa kambo wa Makamba huyo! kama anayesemekana aliyekuwa babake alikuwa fundi wa kupiga kinanda na kukesha usiku iliyokuwa magot lazima mwanae awe vuvuzela!Like father like son.
 

Huu ndio mwisho wako wa kufikiri @Le Mutuz! Eleza fedha hizo ziliingia nchini lini? Aeleze majina na nchi walikotoa hizo fedha. La sivyo wewe nawe utakuwa una akili ndogo kama za panzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…