Tutakuunga mkono Nape sie tunamtaka mzalendo Makongoro
Acha ujinga wako jk siyo mpuuzi kama wewe kama mnakula hizo za mafisadi mle za mwisho.Nape presha iko juu anajua atavaa pampers kuanzia july 13,domo lake linamponza sana,anadhani jk ataweza kumtetea,jk ni mnafiki hamfahamu vizuri
Wanafahamika ni pamoja na Lowasa na kundi lake la mafisadi.kama maneno ya Nape ni kweli kwa nini asituwekee wazi hao mafisadi ili sisi wananchi tusimuunge mkono kwenye udhamini? au ndio mtindo huohuo kama wa kinana anapolalamika kwa utendaji mbovu wa viongozi wa serikali lakini hakuna hatua yeyote inayochukuliwa anabaki kupiga kelele kama kasuku
Acha ujinga wako jk siyo mpuuzi kama wewe kama mnakula hizo za mafisadi mle za mwisho.
juzi usiku nimemwona makongoro mitaa ya ufipa,sijui anataka kukimbia ccm!!halafu tabia yake ya kupiga misele na lile vx la east africa aache,yani mateja ya pale american chips kinondoni ndio washikaji zake...
Wanafahamika ni pamoja na Lowasa na kundi lake la mafisadi.