Nape: Free WiFi kwenye mwendokasi na masoko ya wamachinga nchi nzima

Nape: Free WiFi kwenye mwendokasi na masoko ya wamachinga nchi nzima

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”

Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
 
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”

Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
Ukitaka kula lazima uliwe
J. K. Kikwete
 
Hapo ndiyo utajua tunatawaliwa na watu aina gani, badala ya kupeleka internet colleges na Universities ziwasaidie wanafunzi kwenye masomo yao unapeleka kwenye daladala mtu anayeshuka kituo kinachofwata …
 
Mwenye tatizo au lalamiko lolote na hiyo habari apige: Phone : +255692070581
 
Back
Top Bottom