Nape: Free WiFi kwenye mwendokasi na masoko ya wamachinga nchi nzima

Nape: Free WiFi kwenye mwendokasi na masoko ya wamachinga nchi nzima

Kashindwa kuleta kumleta Elon musk tunapata net ya uhakika Nani kamwambia tunataka bure
 
Hapo ndiyo utajua tunatawaliwa na watu aina gani, badala ya kupeleka internet colleges na Universities ziwasaidie wanafunzi kwenye masomo yao unapeleka kwenye daladala mtu anayeshuka kituo kinachofwata …
Kwenye daladala na masokoni ndo walipo wapiga kura wengi...
 
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”

Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
Badala ya free WiFi yenye speed ya kobe, bora tungepunguziwa gharama za mabando
 
Mwenye tatizo au lalamiko lolote na hiyo habari apige: Phone : +255692070581

IMG_2507.jpg
 
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”

Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)

[emoji28][emoji28] maake hapo kwanza ncheke.
 
Haters wa mama watabisha!!!!
Mama, namaanisha huyu Mama Samia Suluhu Hassan, hakika hana mpinzani. Hapo kwenye machinga wamepaona vizuri kabisa kwa ustawi wa biashara
 
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”

Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
Ila wakati wa uchaguzi na matokeo wataifunga kupisha waporaji wapite.
 
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”

Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
Kama wananunua Bando la kuangalia PONO, hii internet ya bure watakuwa wana upload wenyewe.
 
WiFi itapunguza msongamano wa abiria na mabasi yatakuwa yanafika
Kituoni kwa wakati

Ova
 
Back
Top Bottom