Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye daladala na masokoni ndo walipo wapiga kura wengi...Hapo ndiyo utajua tunatawaliwa na watu aina gani, badala ya kupeleka internet colleges na Universities ziwasaidie wanafunzi kwenye masomo yao unapeleka kwenye daladala mtu anayeshuka kituo kinachofwata …
Badala ya free WiFi yenye speed ya kobe, bora tungepunguziwa gharama za mabando“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”
Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
Mwenye tatizo au lalamiko lolote na hiyo habari apige: Phone : +255692070581
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”
Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
Unataka upinge,kama ilivyo kawaida yenu "mapinga pinga"Ngoja tuone 😃
Jamani 😃😃😃Unataka upinge,kama ilivyo kawaida yenu "mapinga pinga"
Ila wakati wa uchaguzi na matokeo wataifunga kupisha waporaji wapite.“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”
Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
Siyo kila "sokoni" ujue!kama internet yenyew ndo hii ya TTCL msitupotezee muda wetu sokoni
Kama wananunua Bando la kuangalia PONO, hii internet ya bure watakuwa wana upload wenyewe.“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”
Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
Mama kaziniKwa kweli kwa sasa tunafanya biashara,tunafutahia tuna advertise kazi zetu free,thank you madam,keep it up!View attachment 2718741
Password tafadhali!Kwa kweli kwa sasa tunafanya biashara,tunafutahia tuna advertise kazi zetu free,thank you madam,keep it up!View attachment 2718741