Nape: Free WiFi kwenye mwendokasi na masoko ya wamachinga nchi nzima

Nape: Free WiFi kwenye mwendokasi na masoko ya wamachinga nchi nzima

Nitakuwa napita hapo kushusha series...
 
Nguvu ya soda tu

Hiyo WiFi huduma haitamaliza mwezi

Jiiiii

Ova
 
Hiyo free wifi inawasaidia vipi vijana kujikwamua na umaskini zaidi ya kutumia kupakua video za utupu ?
 
Mwanasiasa anakwambia nje kuna mvua, nawe unatoa 2000 yako ya kula unanunua mwamvuli.. utalala njaa, toka nje uone mwenyewe.

Wanasiasa hawaaminiki.
 
kuna mambo mawili kama sio limited wife, yaani IP inapewa 50 mb kwa siku basi ji ni unlimited speed kinyonga
 
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”

Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)


Wala hatuitajia, hamuaminiki, na hamjawahi kuaminika.
 
Kama vile nawaona Vijana jobless watakavyo shida masokoni na kwenye hayo mabus..
Sokoni tena la wamachinga kulivyo na makelele na msongamano wa watu huo.muda wa kutumia hiyo free WiFi utaupata wapi.
Mabasi ya mwendo kasi yanavyojaa na kukimbia hizo button tu za simu.kugonga shida

Waweke kwenye vyuo vikuu
 
Back
Top Bottom