Nape: Hata kama jina langu litakatwa sitakufa njaa kwa sababu nina elimu ya uhakika

Nape: Hata kama jina langu litakatwa sitakufa njaa kwa sababu nina elimu ya uhakika

Mbunge mtetezi wa jimbo la Mtama Nape Nauye amesema haogopi jina lake kukatwa kwa sababu amesoma vizuri na ana elimu ya uhakika.

Akiongea kupitia ukurasa wake wa Twitter Nape anasema yeye siyo mnafiki na yoyote atakayemletea " za kuleta" kwenye kampeni za ubunge atamshughulikia hapo hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Lakini hawezi kupata marupurupu ya mbunge. Ndio sababu hata Maprof wameacha kazi zao kwenda bungeni. Na wengine wameokotwa jalalani kwenda bungeni..
 
Mbunge mtetezi wa jimbo la Mtama Nape Nauye amesema haogopi jina lake kukatwa kwa sababu amesoma vizuri na ana elimu ya uhakika.

Akiongea kupitia ukurasa wake wa Twitter Nape anasema yeye siyo mnafiki na yoyote atakayemletea " za kuleta" kwenye kampeni za ubunge atamshughulikia hapo hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Atulie wenye dhamana ya maamuzi wateue jina kwa maslahi ya chama. Wote walioomba kuteuliwa wana shughuli zao za kuwapatia kipato sio yeye tu. Kuna maisha baada ya uchaguzi. Muhimu aheshimu taratibu za chama chake.
 
Mbunge mtetezi wa jimbo la Mtama Nape Nnauye amesema haogopi jina lake kukatwa kwa sababu amesoma vizuri na ana elimu ya uhakika.

Akiongea kupitia ukurasa wake wa Twitter Nape anasema yeye siyo mnafiki na yeyote atakayemletea " za kuleta" kwenye kampeni za Ubunge atamshughulikia hapo hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Alishindwa kumshughulikia aliyemshikia bastola ataweza sasa?
 
Mbunge mtetezi wa jimbo la Mtama Nape Nnauye amesema haogopi jina lake kukatwa kwa sababu amesoma vizuri na ana elimu ya uhakika.

Akiongea kupitia ukurasa wake wa Twitter Nape anasema yeye siyo mnafiki na yeyote atakayemletea " za kuleta" kwenye kampeni za Ubunge atamshughulikia hapo hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Ndio mwanzo wa kukata tamaa kashashtukia mchezo hata kwenye twits zake ni tabu tupu
 
Ukiona mtu anasema siogopi kabla ya jambo lenyewe kutokea jua huyo mtu ana hofu na woga mkubwa moyoni.mara nyingi hiyo kauli inatolewa ili kujifariji nakutaka upate wanaokuunga mkono hofu ikutoke.
 
Huyo Jamaa hamna kitu! Debe tupu

Kweli debe tupu haliachi kutika!! Huyu Nape nae anaweza kusimama mbele ya watu na kusema ana elimu ya uhakika wakati watu wanajua kuwa elimu yake ni ya kuunga unga? Amshukuru sana Phillip Mangulla akiwa katibu mkuu kwa kumuwezesha kwenda India kusoma akiwa NGUMBALU!!! Hiyo Masters yake toka Chuo kikuu uchwara haina uzito sokoni!!!
 
Nape ni mzigo mkubwa haoni wenye elimu zaidi yake wanavyohangaika na njaa mtaani aache deko wenye elimu mbona wengi wanasota mitaani! Kama ni elimu aachie jumbo sasa aone mziki nje ya mfumo na kipindi hiki jpm kashasema kila mtu ana haki ya kuchaguliwa na alisema inategemeana siku hiyo ameamkaje! Ukiona jina halijarud ujue na wengine wanafaa kuongoza jimbo hilo
 
Elimu haiwez kukusaidia kikazi ukishakuwa mbunge. Mfano umetoka kuwa mbunge alafu unaenda kuwa Afisa masoko wa wa kampuni X, politics is about growing up day to day, hii sawa na ulikuwa diwani ukashindwa kutetea chama chako ukarudi kugombania uenyekiti wa serikali za mtaa
 
Back
Top Bottom