choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,563
Nadhan atajiajiri kama wanavyotulazimisha vijana kujiajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha Dr Kigwangalla.......... hahahaaaa!Hawa wakifikia Bungeni ndo wa kwanza kusema vijana wajiajiri
Nadhan atajiajiri kama wanavyotulazimisha vijana kujiajiri.
Huenda amenusa kukatwa jina lake. Kikubwa atulie tu kwani watakaokatwa si yeye peke yake.Mbunge mtetezi wa jimbo la Mtama Nape Nnauye amesema haogopi jina lake kukatwa kwa sababu amesoma vizuri na ana elimu ya uhakika.
Akiongea kupitia ukurasa wake wa Twitter Nape anasema yeye siyo mnafiki na yeyote atakayemletea " za kuleta" kwenye kampeni za Ubunge atamshughulikia hapo hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Loh! Pamoja na kuwa na Diploma ya Chuo cha Diplomasia hana " diplomasia yeyote". Nimepapenda hapo. Hebu tulidadavue hilo la ukosefu wa malezi akiwa mtoto.nape hana lolote huyu kwanza hana malezi!
Ana mdomo mchafu sana na hana diplomasia yoyote ya kuweza kupata kazi mahali.
hana weledi wala akili za kuringia kuwa ni msomi, ni mpayukaji tu. Kumbukeni alivyokuwa anaporomosha mitusi wakati wa kampeni za 2015 kama mwendawazmu.
ASISEME ANA ELIMU YA KUTOSHA, ASEME ANA CONNECTION YA KUTOSHA HILO NDO LILITAKIWA LIWE JIBU LAKE, KAMA NI ELIMU KUNA WATU WANA ELIMU ZAIDI YAKE NA WAPO MTAANI WANASOTA.Mbunge mtetezi wa jimbo la Mtama Nape Nnauye amesema haogopi jina lake kukatwa kwa sababu amesoma vizuri na ana elimu ya uhakika.
Akiongea kupitia ukurasa wake wa Twitter Nape anasema yeye siyo mnafiki na yeyote atakayemletea " za kuleta" kwenye kampeni za Ubunge atamshughulikia hapo hapo.
Maendeleo hayana vyama
Na kwa nini asingeitumia hiyo elimu yake ya India kuishi toka mwanzo.Nape yupo sahihi kabisa ....ana "tako" la kumtosha kuishi mjini hayo ya "elimu "tuwaachie wenyewe!
Nape ana usomi wa kwenda kumlamba "matako" mwenyekiti wa chama chake!
Mtaalamu wa magoli ya mkonoMbunge mtetezi wa jimbo la Mtama Nape Nnauye amesema haogopi jina lake kukatwa kwa sababu amesoma vizuri na ana elimu ya uhakika.
Akiongea kupitia ukurasa wake wa Twitter Nape anasema yeye siyo mnafiki na yeyote atakayemletea " za kuleta" kwenye kampeni za Ubunge atamshughulikia hapo hapo.
Maendeleo hayana vyama