Nape: Hoja ya Bunge live ilitoka nje ya Bunge na ilikuwa dhaifu. Bunge kwa sasa halina mvuto na wananchi wamelisusa

kumbe na wewe uwa unaandika hovyo hivi? akili ndio nini kwenye mada yako?
 
Wameshaanza kutajana, soon aliyeagiza Lissu auawawe na waliopanga njama hadi utekelezaji wataanikwa, naiona CCM ikielekea kuzimu kwenye ziwa la moto na huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hata kitiila naye kafanya hayo hayo

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…