Mbona hukumsahihisha Daktari wa Intaprentinyuwaaa!!?Nape kasema alivyosema na nimeelewa lakini nami nipo katika kuwapa darsa ndogo ndogo, au hamjalipenda hilo?
Mkuu jifunze kuandika vizuri.hata kama ukiongea huzingatii misingi ya lugha basi jitahidi kuandika vizuri mkuu.Katawaze , acha matusi. Ukitawaza akili inakurudi huwezi kutukana. mtume anasema mwanamke atawaze!
Yanasema kutamka. Humu kuna kutamka au kuandika?Kwahiyo unaamini makosa ya kiuandishi hapa JF yataisha kwa wewe kukosoa uandishi tena huu ambao sometimes ni typing error tu?
Mwenyekiti wako japo ana PhD, lakini kutamka tu maneno ya kiswahili kwa ufasaha ni shida.Sasa ndio iwe wa humu JF?Hii kazi uliojipa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Jitafakari upya!
umechanganyikiwa wewe umeandika nini sasaOhoo, nani ambae si mtoto wa watu? Paka?
Kaandika wapi hayo?
"Uwa- Huwa"kumbe na wewe uwa unaandika hovyo hivi? akili ndio nini kwenye mada yako?
"Darsa-Darasa"Nape kasema alivyosema na nimeelewa lakini nami nipo katika kuwapa darsa ndogo ndogo, au hamjalipenda hilo?
Nape nimeota unafukuzwa uanachama CCM!
sijui! mwanamume sijui anafanyaje, I am not of that denomination.... .Kutawadha siyo "kutawaza".
Na mwanamme?
CHADEMA: Nape for presidence!
CHADEMA: NAPE FOR PRESIDENCE.Labda kwa mazuzu wa lumumba
In God we Trust
CHADEMA: NAPE FOR PRESIDENCE.
Biashara ya mwanasiasa ni kuongea..ila mwanasiasa hupimwa uwezo akiwa madarakani..leo hii mtu kama lissu au mbowe kuwapa madaraka makubwa ni tatizo..vivyo hivyo kina zitto na kina nape itakuwa tatizo..wamuhoji pia kwa nini alitoa bastola kwenye kampeni za ubunge mtama..pia kwa nini aliwaambia wananchi wa mtama kwa jeuri watake wasitake ye ndio mbunge wao hata kabla ya uchaguzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu yuko ulaya 95% are whites alafu wewe unaona ujiko lissu kupiga picha na white. Hatari sana.
Lazima Utakua Kati ya wale ghost workersNnape anzisheni mkakati wa kumng'oa huyu Msukuma..tulioyashuhudia hii miaka yanatosha.
Mtu yuko ulaya 95% are whites alafu wewe unaona ujiko lissu kupiga picha na white. Hatari sana.