Nape: Hoja ya Bunge live ilitoka nje ya Bunge na ilikuwa dhaifu. Bunge kwa sasa halina mvuto na wananchi wamelisusa

Nape: Hoja ya Bunge live ilitoka nje ya Bunge na ilikuwa dhaifu. Bunge kwa sasa halina mvuto na wananchi wamelisusa

Na G malisa

"Sio mimi niliyezuia bunge Live, haukua uamuzi wangu. Bunge lenyewe liliunda kanuni za kuendesha matangazo yake. Lakini ukweli ni kuwa hatukutenda haki na watu wanalalamika sana. Kuhusu watu kutizama TV na kushindwa kufanya kazi hiyo hoja niliitoa mimi lakini ni kwa sababu za kisiasa tu. Ilikua hoja dhaifu. Mbona kuna watu wanafanya kazi na wanaangalia vipindi vingine vya TV hata kama sio bunge? Kwahiyo ni hoja yangu lakini ilikua dhaifu"

Nape Moses Nnauye, Mbunge wa Mtama, na Waziri aliyefurushwa.!

Ok, binafsi nimekuelewa, Tubu kwa Mungu kwa kuwa uliacha kutetea matakwa ya wanachi badala yake ukatetea hoja dhaifu na za wanasiasa
 
Sikisii uandiwhi hata siku moja. 99% Nnakosoa "r" na "!" Kama za huyo poyoyo hapo juu.

Unafikiri huyo poyoyo atasahau tena akili na akiri? Thubutu.
'Uandiwhi' ni nini?

Tuliza wenge we ajuza.
 
Akili = akiri

Si unaona akili zenu zilivyo? Neno moja linabadilisha kabisa maana ya sentensi, mkiambiwa shule mlienda kusomea ujinga mnapayuka.
Wee Nae Jitu zima kazi kurekebisha Ujinga Ujinga
Hujawahi kukosea au?
 
Akili = akiri

Si unaona akili zenu zilivyo? Neno moja linabadilisha kabisa maana ya sentensi, mkiambiwa shule mlienda kusomea ujinga mnapayuka.

Unasema intapretenyuaaa?Sadam wa Kuwait bwana
 
Kweli ajaiva bado kisiasa katika nafasi za juu pamoja na malezi yote aliyopewa.

Ukiwa waziri maamuzi ya serikari yakiangukia wizara yako unabanwa na dhana collective responsibility kama unaona kitu akikufai uwezi kuwa mjumbe wa kukitetea achia ngazi watu ndio wanavyofanya.

Na hata hao wanaojitumbua asilimia kubwa sana sana watasema hiyo sera awazani kama wao ni watu sahihi kuitekeleza lakini kwenda kuropoka adharani maamuzi ya serikari especially baada ya kutumbuliwa ni utoto au hasira ya kitumbua kuingua mchanga.

Sio kusema natetea uminywaji wa habari; hila watu hata pale wanapofanya makosa katika nafasi zao ukaa especially kama walikuwa sehemu ya serikari waliyoitumikia na bado ipo madarakani; wacha wengine wakosoe.
 
Bavicha hata tofauti kati ya "akiri" na " akili" hamfahamu halafu mnataka mtuongoze.
mbona kuna wengine wanatutawala/sio kutuongoza hata kutamka neno enterprenuership nusu wavunje mike?
 
Na G malisa

"Sio mimi niliyezuia bunge Live, haukua uamuzi wangu. Bunge lenyewe liliunda kanuni za kuendesha matangazo yake. Lakini ukweli ni kuwa hatukutenda haki na watu wanalalamika sana. Kuhusu watu kutizama TV na kushindwa kufanya kazi hiyo hoja niliitoa mimi lakini ni kwa sababu za kisiasa tu. Ilikua hoja dhaifu. Mbona kuna watu wanafanya kazi na wanaangalia vipindi vingine vya TV hata kama sio bunge? Kwahiyo ni hoja yangu lakini ilikua dhaifu"

Nape Moses Nnauye, Mbunge wa Mtama, na Waziri aliyefurushwa.!
Madaraka yanalevya, watajuta wengi, hasa watakatifu wa awamu ya tano.
 
Kweli ajaiva bado kisiasa katika nafasi za juu pamoja na malezi yote aliyopewa.

Ukiwa waziri maamuzi ya serikari yakiangukia wizara yako unabanwa na dhana collective responsibility kama unaona kitu akikufai uwezi kuwa mjumbe wa kukitetea achia ngazi watu ndio wanavyofanya.

Na hata hao wanaojitumbua asilimia kubwa sana sana watasema hiyo sera awazani kama wao ni watu sahihi kuitekeleza lakini kwenda kuropoka adharani maamuzi ya serikari especially baada ya kutumbuliwa ni utoto au hasira ya kitumbua kuingua mchanga.

Sio kusema natetea uminywaji wa habari; hila watu hata pale wanapofanya makosa katika nafasi zao ukaa especially kama walikuwa sehemu ya serikari waliyoitumikia na bado ipo madarakani; wacha wengine wakosoe.

Hoja dhaifu kabisa. Kwa kusema ukweli atakuwa huru. Fidel Casto aliwahi kusema "......... sitakumbatia upumbavu nilousema jana kwa sababu ya kuonyesha msimamo" Huo uamuzi ulikuwa wa kipumbavu, ukandamizaji wa uhuru wa watu na kusema kweli ni kinyume cha uzalaendo. Achana na Mhe. Nape, anakua hivyo.
 
Back
Top Bottom