Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Teh hiyo "Auto collection" rekebisha kabla bi chau hajaonaNeno moja umelishupalia hadi udhu imekutoka, ila content yake umeacha. Ni tatizo la teknolojia ya auto collection
Typing error mbona ziko nyingi tu kwenye maandishi?Sikisii uandiwhi hata siku moja. 99% Nnakosoa "r" na "!" Kama za huyo poyoyo hapo juu.
Unafikiri huyo poyoyo atasahau tena akili na akiri? Thubutu.
Na G malisa
"Sio mimi niliyezuia bunge Live, haukua uamuzi wangu. Bunge lenyewe liliunda kanuni za kuendesha matangazo yake. Lakini ukweli ni kuwa hatukutenda haki na watu wanalalamika sana. Kuhusu watu kutizama TV na kushindwa kufanya kazi hiyo hoja niliitoa mimi lakini ni kwa sababu za kisiasa tu. Ilikua hoja dhaifu. Mbona kuna watu wanafanya kazi na wanaangalia vipindi vingine vya TV hata kama sio bunge? Kwahiyo ni hoja yangu lakini ilikua dhaifu"
Nape Moses Nnauye, Mbunge wa Mtama, na Waziri aliyefurushwa.!
Nnakosoa=Ninakosoa!!!Sikisii uandiwhi hata siku moja. 99% Nnakosoa "r" na "!" Kama za huyo poyoyo hapo juu.
Unafikiri huyo poyoyo atasahau tena akili na akiri? Thubutu.
'Uandiwhi' ni nini?Sikisii uandiwhi hata siku moja. 99% Nnakosoa "r" na "!" Kama za huyo poyoyo hapo juu.
Unafikiri huyo poyoyo atasahau tena akili na akiri? Thubutu.
Mshamba mtu mzuri na ana nafuu sana, alipewa LIMBUKENI.Kibanda kishaanza kufuka Moshi
Kiti si walimpa Mshamba,Sasa wanatapatapa
Wee Nae Jitu zima kazi kurekebisha Ujinga UjingaAkili= akiri
Si unaona akili zenu zilivyo? Neno moja linabadilisha kabisa maana ya sentensi, mkiambiwa shule mlienda kusomea ujinga mnapayuka.
Yaani Hilo Bibi jituzima nuksi kishenziNnakosoa=Ninakosoa!!!
Akili= akiri
Si unaona akili zenu zilivyo? Neno moja linabadilisha kabisa maana ya sentensi, mkiambiwa shule mlienda kusomea ujinga mnapayuka.
tukiachana na hayo makosa ya kiuandishi, vipi maoni yako kuhusu kauli ya Nape?
Ukiweka r kwenye l au l kwenye r nakushukia.
hebu na wewe soma ulicho andika sentensi ya kwanza na ya piliSikisii uandiwhi hata siku moja. 99% Nnakosoa "r" na "!" Kama za huyo poyoyo hapo juu.
Unafikiri huyo poyoyo atasahau tena akili na akiri? Thubutu.
Akili= akiri
Si unaona akili zenu zilivyo? Neno moja linabadilisha kabisa maana ya sentensi, mkiambiwa shule mlienda kusomea ujinga mnapayuka.
mbona kuna wengine wanatutawala/sio kutuongoza hata kutamka neno enterprenuership nusu wavunje mike?Bavicha hata tofauti kati ya "akiri" na " akili" hamfahamu halafu mnataka mtuongoze.
Madaraka yanalevya, watajuta wengi, hasa watakatifu wa awamu ya tano.Na G malisa
"Sio mimi niliyezuia bunge Live, haukua uamuzi wangu. Bunge lenyewe liliunda kanuni za kuendesha matangazo yake. Lakini ukweli ni kuwa hatukutenda haki na watu wanalalamika sana. Kuhusu watu kutizama TV na kushindwa kufanya kazi hiyo hoja niliitoa mimi lakini ni kwa sababu za kisiasa tu. Ilikua hoja dhaifu. Mbona kuna watu wanafanya kazi na wanaangalia vipindi vingine vya TV hata kama sio bunge? Kwahiyo ni hoja yangu lakini ilikua dhaifu"
Nape Moses Nnauye, Mbunge wa Mtama, na Waziri aliyefurushwa.!
Kweli ajaiva bado kisiasa katika nafasi za juu pamoja na malezi yote aliyopewa.
Ukiwa waziri maamuzi ya serikari yakiangukia wizara yako unabanwa na dhana collective responsibility kama unaona kitu akikufai uwezi kuwa mjumbe wa kukitetea achia ngazi watu ndio wanavyofanya.
Na hata hao wanaojitumbua asilimia kubwa sana sana watasema hiyo sera awazani kama wao ni watu sahihi kuitekeleza lakini kwenda kuropoka adharani maamuzi ya serikari especially baada ya kutumbuliwa ni utoto au hasira ya kitumbua kuingua mchanga.
Sio kusema natetea uminywaji wa habari; hila watu hata pale wanapofanya makosa katika nafasi zao ukaa especially kama walikuwa sehemu ya serikari waliyoitumikia na bado ipo madarakani; wacha wengine wakosoe.