Nape kama kura zipo mtaani na siyo kwenye mitandao mbona huwa mnazima mitandao?

Nape kama kura zipo mtaani na siyo kwenye mitandao mbona huwa mnazima mitandao?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kama mitandao haina taathira kwenye Siasa za Tanzania, mbona CCM hulazimisha mitandao ifungwe au ipoozeshwe Kasi yake wakati wa Uchaguzi?

Nape anadhani tumesahau jinsi kwenye uchaguzi wa 2020 tulivyolazimika kutumia VPN Ili kuwasiliana kupitia mitandao?

Sisi watanzania siyo wasahaulifu kiasi cha kusahau jinsi John Magufuli alivyosema hadharani kuwa anatamani Malaika washuke waje wafunge mitandao.

Halafu kwani hao walioko mitandaoni siyo binadamu wapiga kura bali maroboti?

Alifanya lini sensa ya kujua kama 60% ya wapinga Serikali mitandaoni kuwa wapo nje ya Tanzania?
 
Kama mitandao haina taathira kwenye Siasa za Tanzania, mbona CCM hulazimisha mitandao ifungwe au ipoozeshwe Kasi yake wakati wa Uchaguzi?

Nape anadhani tumesahau jinsi kwenye uchaguzi wa 2020 tulivyolazimika kutumia VPN Ili kuwasiliana kupitia mitandao?

Sisi watanzania siyo wasahaulifu kiasi cha kusahau jinsi John Magufuli alivyosema hadharani kuwa anatamani Malaika washuke waje wafunge mitandao.

Halafu kwani hao walioko mitandaoni siyo binadamu wapiga kura bali maroboti?

Alifanya lini sensa ya kujua kama 60% ya wapinga Serikali mitandaoni kuwa wapo nje ya Tanzania?
Wanablock msg zote zenye Jina la Lissu.....
Kiukweli magu tumemsamehe ila hatutosahau.
 
Back
Top Bottom