NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Hapo ndo napowakubali CCM,ni wepesi kumaliza tofauti zao. vizavizabina watabaki wanaumbuka mchana kweupe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa wapi kipindi cha magu asiongee hivyoTunaelekea kuelewa yupi ni yupi yuleeee. Sidhani kuna mstaarabu anayekataa kukosoa kwa lengo la kusonga mbele. Issue ni namna ya ukosoaji na wakati wake. Mlikuwepo kwenye chama mlikwama wapi kukosoa?
Si vizuri kum label mtu mjinga...Huyu mjinga naye hana lolote.
Yale yaleHuyu mjinga naye hana lolote.
Naona umesalimu amri kwa kichaka cha 'kuzika tofauti'. Ulikuwa unapigana na njemba ukakomaa, lilipoanza kukuelemea ukaanza kuhimiza maridhianoHapo ndo napowakubali CCM,ni wepesi kumaliza tofauti zao. vizavizabina watabaki wanaumbuka mchana kweupe.
Acting smart, kumbe wana ulterior motives...Hawa watu ni kuwa nao makini sana...Watu ambao wapo kama popo usiku mnyama mchana ndege hawafai kabisa...Hawa sidhani kama wataweza ku withstand temptations wakiaminiwa kwenye mambo ambayo ni mazito na yanahitaji kujitoa kwaajili ya taifa...Ni mbegu mbaya kwa vizazi vyetu, hawa hata kwenye dunia ya walioendelea are not trusted ndiyo maana utakuta tunapewa masharti magumu kwakua hatuna misimamo!Tunaelekea kuelewa yupi ni yupi yuleeee. Sidhani kuna mstaarabu anayekataa kukosoa kwa lengo la kusonga mbele. Issue ni namna ya ukosoaji na wakati wake. Mlikuwepo kwenye chama mlikwama wapi kukosoa?
CCM ni ile ile na ilani ni ile ya 2020 hakuna cha zama hapa...Gari lilelile mwendo ule ule ila dereva kabadilikaKey point to note, "KILA ZAMA NA KITABU CHAKEEEEEEE"
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa nyaraka za chama hicho tawala, kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu.
Nape ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 15, 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake kwa mwaka 2021/22.
Amesema Rais wa awamu ya sita, Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri na kutaka wananchi kumpa ushirikiano, “mzee Mwinyi (Ali Hassan- rais wa awamu ya pili) alituambia kila zama na kitabu chake.”
Amebainisha kuwa wamekuwa na vitabu vitano akirejea marais watano Julius Nyerere, Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na John Magufuli akisisitiza kuwa wito wake kwa viongozi, wabunge wenzake, wanachama wa CCM pamoja na Watanzania kumsaidia Samia kwa kumuunga mkono aandike kitabu cha awamu ya sita.
“Tusigombane bila sababu Tanzania ni yetu sote tumsaidie mama naye aandike kitabu chake tusimshike mkono kumwandikia kitabu tumwache aandike kitabu chake na ndugu zangu legacy (alama) haitetewi inajitetea yenyewe.”
“Hasa ile inayofanywa na mtu kama Magufuli itajitetea na kujisimamia miaka labda kama mtu ana mashaka na legacy yake lakini kama hamna mashaka na legacy yake itasikilizwa, itaongewa sisi watoto wajukuu na vitukuu kwa sababu haya waliyoyafanya watayakuta,” amesema.
Amesema sasa hivi hawana sababu ya kugombana na hawana sababu ya kutoana macho.
“Mimi nimekuwa kiongozi katika chama, nimesimamia idara ya maktaba na nyaraka duniani hakuna chama bora kilicho document vya kutosha CCM ni karibia namba moja kwa kila kitu,” amesema.
Amesema kwenye nyaraka zao wamesema kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na sio dalili ya udhaifu.
Chanzo: Mwananchi
Kaongea point tupuuuuuu, hawa ndo wachache tuliobakiwa nao wanaojitambua.
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa nyaraka za chama hicho tawala, kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu.
Nape ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 15, 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake kwa mwaka 2021/22.
Amesema Rais wa awamu ya sita, Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri na kutaka wananchi kumpa ushirikiano, “mzee Mwinyi (Ali Hassan- rais wa awamu ya pili) alituambia kila zama na kitabu chake.”
Amebainisha kuwa wamekuwa na vitabu vitano akirejea marais watano Julius Nyerere, Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na John Magufuli akisisitiza kuwa wito wake kwa viongozi, wabunge wenzake, wanachama wa CCM pamoja na Watanzania kumsaidia Samia kwa kumuunga mkono aandike kitabu cha awamu ya sita.
“Tusigombane bila sababu Tanzania ni yetu sote tumsaidie mama naye aandike kitabu chake tusimshike mkono kumwandikia kitabu tumwache aandike kitabu chake na ndugu zangu legacy (alama) haitetewi inajitetea yenyewe.”
“Hasa ile inayofanywa na mtu kama Magufuli itajitetea na kujisimamia miaka labda kama mtu ana mashaka na legacy yake lakini kama hamna mashaka na legacy yake itasikilizwa, itaongewa sisi watoto wajukuu na vitukuu kwa sababu haya waliyoyafanya watayakuta,” amesema.
Amesema sasa hivi hawana sababu ya kugombana na hawana sababu ya kutoana macho.
“Mimi nimekuwa kiongozi katika chama, nimesimamia idara ya maktaba na nyaraka duniani hakuna chama bora kilicho document vya kutosha CCM ni karibia namba moja kwa kila kitu,” amesema.
Amesema kwenye nyaraka zao wamesema kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na sio dalili ya udhaifu.
Chanzo: Mwananchi
Inasemekana mkuu wa jeshi ndio aliomkingia kifua Mama, vinginevyo walafi wa vyeo walitaka kuharibu kabisa hali ya hewa baada ya kifo cha JPM.Chama gani kimesimamia transition? Nape acha uongo - kama si Mkuu wa Majeshi sasa hivi tungekuwa tunaongea kichina.
balaaYale yale
Hatoruhusiwa tenaanataka CCM wamsamehe arudi tena kundini.... Juzi tu alipiga magoti akitokwa na machozi anafikiri tumesahau.
Hakuna namnaInasemekana mkuu wa jeshi ndio aliomkingia kifua Mama, vinginevyo walafi wa vyeo walitaka kuharibu kabisa hali ya hewa baada ya kifo cha JPM.
Tetetete mbona hakuongea kipindi jiwe yupo?Ujinga wake nini ,wewe mataga mlamba miguu ya mwendaZake?
Mjinga wewe mwenyewe, mbona kipindi marehemu yupo hai alikuwa haongei?Bro Babati bora ungekaa kimya, kwa kuandika umeonyesha UJINGA wako.
Sasa Nape kakosea nini hapo? Au unamchukia tu
Aliongea ikatumika nguvu kubwa kumnyamazisha.Rejea:Alivyotolewa bastola na mtu wa usalama wa Taifa!Tetetete mbona hakuongea kipindi jiwe yupo?
Hapa tuondoke na;Key point to note, "KILA ZAMA NA KITABU CHAKEEEEEEE"