Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mjinga sn yule alifuta bunge live na sheria kandamizi kwa wanahabariAliongea ikatumika nguvu kubwa kumnyamazisha.Rejea:Alivyotolewa bastola na mtu wa usalama wa Taifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga sn yule alifuta bunge live na sheria kandamizi kwa wanahabariAliongea ikatumika nguvu kubwa kumnyamazisha.Rejea:Alivyotolewa bastola na mtu wa usalama wa Taifa!
Hawa watu huwa system ikiwatelekeza ndio akili zinawarudi.Mtu ambaye akili haijawahi kurudi hata akitelekezwa ni Bwana Lameck Madelu tu.Huyu ni bingwa wa kulamba miguu,nafikiri anayo PhD ya kulamba miguu 🤣Mjinga sn yule alifuta bunge live na sheria kandamizi kwa wanahabari
Shida ya MATAGA, hayataki kuamini kama zama za meko, zimekwisha, wanafikilia kuwa labda ni kama vile anaumwa hivyo mama samia amemshikia tu!!!kwa hiyo hana uwezo wa kufanya anayotaka yeye!ili mwenyewe aje aendelee tena!!!ila yataelewa tu.Kama mtu alikuwa dhalimu, na kufanya mauji, kuwabambikia kesi, kuhujumu shughuli zao wote wanamkosoa, unataka mbwembwe gani za kumkosoa? Anayetawala kidhalimu, anakosolewa bila kubembelezwa.
Huyu amelaaniwaHawa watu huwa system ikiwatekeleza ndio akili zinawarudi.Mtu ambaye akili haijawahi kurudi hata akitelekezwa ni Bwana Lameck Madelu tu.Huyu ni bingwa wa kulamba miguu,nafikiri anayo PhD ya kulamba miguu 🤣
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa nyaraka za chama hicho tawala, kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu.
Nape ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 15, 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake kwa mwaka 2021/22.
Amesema Rais wa awamu ya sita, Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri na kutaka wananchi kumpa ushirikiano, “mzee Mwinyi (Ali Hassan- rais wa awamu ya pili) alituambia kila zama na kitabu chake.”
Amebainisha kuwa wamekuwa na vitabu vitano akirejea marais watano Julius Nyerere, Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na John Magufuli akisisitiza kuwa wito wake kwa viongozi, wabunge wenzake, wanachama wa CCM pamoja na Watanzania kumsaidia Samia kwa kumuunga mkono aandike kitabu cha awamu ya sita.
“Tusigombane bila sababu Tanzania ni yetu sote tumsaidie mama naye aandike kitabu chake tusimshike mkono kumwandikia kitabu tumwache aandike kitabu chake na ndugu zangu legacy (alama) haitetewi inajitetea yenyewe.”
“Hasa ile inayofanywa na mtu kama Magufuli itajitetea na kujisimamia miaka labda kama mtu ana mashaka na legacy yake lakini kama hamna mashaka na legacy yake itasikilizwa, itaongewa sisi watoto wajukuu na vitukuu kwa sababu haya waliyoyafanya watayakuta,” amesema.
Amesema sasa hivi hawana sababu ya kugombana na hawana sababu ya kutoana macho.
“Mimi nimekuwa kiongozi katika chama, nimesimamia idara ya maktaba na nyaraka duniani hakuna chama bora kilicho document vya kutosha CCM ni karibia namba moja kwa kila kitu,” amesema.
Amesema kwenye nyaraka zao wamesema kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na sio dalili ya udhaifu.
Chanzo: Mwananchi
Hata yeye mwenyewe alipojaribu kupinga mambo ya bashite nadhani hakuna asiyejua kilimtokea nini. Kuna watu wanaongea kama vile kipindi cha nyuma walikuwa wamezimia ndo wamezinduka baada ya mwendazake kwendacitizensindevelopment18 usijifanye uko nje ya Tanzania. Magufuli alikuwa anaua, anateka, na alikuwa anaweza kukutafutia kesi isiyo na dhamana kwa issue ya kumkosoa tu.
Kwa hiyo ulidhani akina Nape hawajui kilichompata Ben Saanane, Tundu Lissu na RomaMkatoliki?
Angeongeaje wakati Magufuli ana bunduki zote na magereza?Mjinga wewe mwenyewe, mbona kipindi marehemu yupo hai alikuwa haongei?
Pia tuongeze, kama legacy haipo, haipo tu!Hapa tuondoke na;
LEGACY HAITETEWI INAJITETEA YENYEWE.
Kama vile ya Nyerere wala haina mjadala lakini hii ya kulazimisha ya Mwendazake inatumia nguvu nyingi sana.Pia tuongeza, kama legacy haipo, haipo tu!
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa nyaraka za chama hicho tawala, kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu.
Nape ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 15, 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake kwa mwaka 2021/22.
Amesema Rais wa awamu ya sita, Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri na kutaka wananchi kumpa ushirikiano, “mzee Mwinyi (Ali Hassan- rais wa awamu ya pili) alituambia kila zama na kitabu chake.”
Amebainisha kuwa wamekuwa na vitabu vitano akirejea marais watano Julius Nyerere, Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na John Magufuli akisisitiza kuwa wito wake kwa viongozi, wabunge wenzake, wanachama wa CCM pamoja na Watanzania kumsaidia Samia kwa kumuunga mkono aandike kitabu cha awamu ya sita.
“Tusigombane bila sababu Tanzania ni yetu sote tumsaidie mama naye aandike kitabu chake tusimshike mkono kumwandikia kitabu tumwache aandike kitabu chake na ndugu zangu legacy (alama) haitetewi inajitetea yenyewe.”
“Hasa ile inayofanywa na mtu kama Magufuli itajitetea na kujisimamia miaka labda kama mtu ana mashaka na legacy yake lakini kama hamna mashaka na legacy yake itasikilizwa, itaongewa sisi watoto wajukuu na vitukuu kwa sababu haya waliyoyafanya watayakuta,” amesema.
Amesema sasa hivi hawana sababu ya kugombana na hawana sababu ya kutoana macho.
“Mimi nimekuwa kiongozi katika chama, nimesimamia idara ya maktaba na nyaraka duniani hakuna chama bora kilicho document vya kutosha CCM ni karibia namba moja kwa kila kitu,” amesema.
Amesema kwenye nyaraka zao wamesema kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na sio dalili ya udhaifu.
Chanzo: Mwananchi
Mbona akina Mbowe, Lema, Askofu Mwamakula, Bagonza na Lissu waliongea?Angeongeaje wakati Magufuli ana bunduki zote na magereza?
Unaanzia wapi kumkosoa JPM?Tunaelekea kuelewa yupi ni yupi yuleeee. Sidhani kuna mstaarabu anayekataa kukosoa kwa lengo la kusonga mbele. Issue ni namna ya ukosoaji na wakati wake. Mlikuwepo kwenye chama mlikwama wapi kukosoa?
Wala hakuna chochote kipya, labda kuiharibu tu nchi yetu, kitaifa na kimataifa kwa kauli tata!Kama vile ya Nyerere wala haina mjadala lakini hii ya kulazimisha ya Mwendazake inatumia nguvu nyingi sana.
Maana hata shughuli zilizoamzishwa na JK na yeye kumalizia wanazihesabu ni legacy yake
Kazi hiyo mbona imeanza tu, kuna watu mtahamia jamuhuri ya malaika mkaimbe milele huko!Unaanzia wapi kumkosoa JPM?
Acha kujifanya humjui?Nani alizima bunge
We ndo Nape?Kaongea point tupuuuuuu, hawa ndo wachache tuliobakiwa nao wanaojitambua.
Yaliyowapata unayajua au huyajui? Ndiyo maana nimekushangaaMbona akina Mbowe, Lema, Askofu Mwamakula, Bagonza na Lissu waliongea?
Mkono wa chuma....Nani alizima bunge