Mwambie huyo Ngalikihinja kuwa tunakosoa 24/7 mpaka Watanzania wote wajue kuwa Mwendazake alikuwa mwendawazimuKazi hiyo mbona imeanza tu, kuna watu mtahamia jamuhuri ya malaika mkaimbe milele huko!
Maneno Kuntu.
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa nyaraka za chama hicho tawala, kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu.
Nape ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 15, 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake kwa mwaka 2021/22.
Amesema Rais wa awamu ya sita, Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri na kutaka wananchi kumpa ushirikiano, “mzee Mwinyi (Ali Hassan- rais wa awamu ya pili) alituambia kila zama na kitabu chake.”
Amebainisha kuwa wamekuwa na vitabu vitano akirejea marais watano Julius Nyerere, Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na John Magufuli akisisitiza kuwa wito wake kwa viongozi, wabunge wenzake, wanachama wa CCM pamoja na Watanzania kumsaidia Samia kwa kumuunga mkono aandike kitabu cha awamu ya sita.
“Tusigombane bila sababu Tanzania ni yetu sote tumsaidie mama naye aandike kitabu chake tusimshike mkono kumwandikia kitabu tumwache aandike kitabu chake na ndugu zangu legacy (alama) haitetewi inajitetea yenyewe.”
“Hasa ile inayofanywa na mtu kama Magufuli itajitetea na kujisimamia miaka labda kama mtu ana mashaka na legacy yake lakini kama hamna mashaka na legacy yake itasikilizwa, itaongewa sisi watoto wajukuu na vitukuu kwa sababu haya waliyoyafanya watayakuta,” amesema.
Amesema sasa hivi hawana sababu ya kugombana na hawana sababu ya kutoana macho.
“Mimi nimekuwa kiongozi katika chama, nimesimamia idara ya maktaba na nyaraka duniani hakuna chama bora kilicho document vya kutosha CCM ni karibia namba moja kwa kila kitu,” amesema.
Amesema kwenye nyaraka zao wamesema kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na sio dalili ya udhaifu.
Chanzo: Mwananchi
Na wakitutania tunaingia mtaani, kusema Never and Never Again!Mwambie huyo Ngalikihinja kuwa tunakosoa 24/7 mpaka Watanzania wote wajue kuwa Mwendazake alikuwa mwendawazimu
Asante, yule kima hajaacha legacy yeyote zaidi ya kuharibu nchi yetu nzuri kiuchumi na mahusiano ya kimataifa.Wanaojirudi kwa sasa na kukubali ukweli hata Mungu anawasemehe ubaya ni wale wanaoendelea kulazimisha mabaya kua ni mema.
Nimeelewa Legacy inajitetea kwa nini kutumia nguvu nyingi kuitetea ya awamu iliyokomea njiani?
Kila zama na kitabu chake yes.
Tukubali siku tutakua na Ilani ya Taifa na siyo ya chama ndipo tutasonga mbele kama taifa.
Frankly speaking..hao jamaa wangefanya nini hata kama cdf asingestep-up?..Inasemekana mkuu wa jeshi ndio aliomkingia kifua Mama, vinginevyo walafi wa vyeo walitaka kuharibu kabisa hali ya hewa baada ya kifo cha JPM.
Hivi mmenielewa nilichomaanisha?Mwambie huyo Ngalikihinja kuwa tunakosoa 24/7 mpaka Watanzania wote wajue kuwa Mwendazake alikuwa mwendawazimu
Ok....Wala hatutaki kuelewa!
Rudia basi tukueleweHivi mmenielewa nilichomaanisha?
Kwamba Magu kumkosoa hakuwa anapenda na hakutaka hata kusikia...Rudia basi tukuelewe
Nimekuelewa kamanda, tuko page moja. UdumuKwamba Magu kumkosoa hakuwa anapenda na hakutaka hata kusikia...
Mbona akina Mbowe, Lema, Askofu Mwamakula, Bagonza na Lissu waliongea?
Ukitengeneza mazingira rafiki utapata kukosolewa na kusikia mawazo kinzani. Ila ukiwa mbabe unatishia maisha ya watu na kujiona wewe unajua kila kitu watu watakupa sifa nyingi sana.Tunaelekea kuelewa yupi ni yupi yuleeee. Sidhani kuna mstaarabu anayekataa kukosoa kwa lengo la kusonga mbele. Issue ni namna ya ukosoaji na wakati wake. Mlikuwepo kwenye chama mlikwama wapi kukosoa?
......ndugu zangu legacy (alama) haitetewi inajitetea yenyewe.
Maneno muhimu
Mbona walikubali kufilisika waoNini kiliwapata hao wote??
Mtu ambaye yupo kufa ajili ya watu wake huyu ndiyo kiongozi siyo hao wasaka fursaYaliyowapata unayajua au huyajui? Ndiyo maana nimekushangaa
Mbona watu hamsemi Mkapa?Sana. Kama kafanya vyema huyo Mwendazake, waache legacy yake ijitetee yenyewe, wasilazimishie watu wanyamaze kuongelea mapungufu yake.
Amekufa kwa uzembe wake wa kudharau Corona huku anajijuwa kuwa ana UKIMWI, betri iliyochoka kifuani, kichaa na mihasira ya HOVYOMtu ambaye yupo kufa ajili ya watu wake huyu ndiyo kiongozi siyo hao wasaka fursa
Sawa mkuu! 🙏🙏, hata mimi nimeelewa! Na-reverse comment yangu kwamba hatutaki kukuelewa!Kwamba Magu kumkosoa hakuwa anapenda na hakutaka hata kusikia...
Hatari snAmekufa kwa uzembe wake wa kudharau Corona huku anajijuwa kuwa ana UKIMWI, betri iliyochoka kifuani, kichaa na mihasira ya HOVYO
Tunataka maendeleo maana CHADEMA walichelewesha maendeleo hatutaki blablaa nyiiiiingi mpo wenyewe wana ccm ktk vikao vya chama hilo sio bunge
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa nyaraka za chama hicho tawala, kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu.
Nape ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 15, 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake kwa mwaka 2021/22.
Amesema Rais wa awamu ya sita, Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri na kutaka wananchi kumpa ushirikiano, “mzee Mwinyi (Ali Hassan- rais wa awamu ya pili) alituambia kila zama na kitabu chake.”
Amebainisha kuwa wamekuwa na vitabu vitano akirejea marais watano Julius Nyerere, Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na John Magufuli akisisitiza kuwa wito wake kwa viongozi, wabunge wenzake, wanachama wa CCM pamoja na Watanzania kumsaidia Samia kwa kumuunga mkono aandike kitabu cha awamu ya sita.
“Tusigombane bila sababu Tanzania ni yetu sote tumsaidie mama naye aandike kitabu chake tusimshike mkono kumwandikia kitabu tumwache aandike kitabu chake na ndugu zangu legacy (alama) haitetewi inajitetea yenyewe.”
“Hasa ile inayofanywa na mtu kama Magufuli itajitetea na kujisimamia miaka labda kama mtu ana mashaka na legacy yake lakini kama hamna mashaka na legacy yake itasikilizwa, itaongewa sisi watoto wajukuu na vitukuu kwa sababu haya waliyoyafanya watayakuta,” amesema.
Amesema sasa hivi hawana sababu ya kugombana na hawana sababu ya kutoana macho.
“Mimi nimekuwa kiongozi katika chama, nimesimamia idara ya maktaba na nyaraka duniani hakuna chama bora kilicho document vya kutosha CCM ni karibia namba moja kwa kila kitu,” amesema.
Amesema kwenye nyaraka zao wamesema kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na sio dalili ya udhaifu.
Chanzo: Mwananchi