Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 441
- 1,065
Jamii forums inaanza kurudi enzi zake. Enzi ambazo tetesi zote zilianzia humu, mijadala ya kutikisa nchi ilianzia huku na hadi kufikia hatua ya kufanyiwa rejea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa wapi! JF haitakaa irudi enzi zake. Kuna watu wa ovyo sana hapa jamvini hasa hivi vitoto vilivyorudikana humu.Jamii forums inaanza kurudi enzi zake. Enzi ambazo tetesi zote zilianzia humu, mijadala ya kutikisa nchi ilianzia huku na hadi kufikia hatua ya kufanyiwa rejea.
Ukiacha jamii forums unatumia mtandao gani mwingine?Jamii forums inaanza kurudi enzi zake. Enzi ambazo tetesi zote zilianzia humu, mijadala ya kutikisa nchi ilianzia huku na hadi kufikia hatua ya kufanyiwa rejea.
Hakuna utofauti wowote... Wawepo au waondolewe!Mawaziri wanaotakiwa kuondoka ni Bashe,Mwigulu,mAKAMBA na Nape.Mama atazame kinachotokea Kenya.Au na huko kajieguza chura.
unajua hakuna kitu kiliwaudhi kama kauli ya kuhalalisha wizi wa kura kwenye uchaguzi alipokuwa Bukoba,taswira ya 2019/2020 bado iko kwenye kumbukumbu za watu. it was too bad unaenda kupiga kura halafu unapewa kitu kingine nchi nzima zeroLakini swala hili ukilinagnaliwa kwa jicho la tatu; wabongo walitakiwa wasikitike, hawakutakiwa kushangilia!
Mwigulu wa naneNa iwe kama ulivyonena, halafu baadaye afuatie Mwigulu
Bashe kafanyaje?Mawaziri wanaotakiwa kuondoka ni Bashe,Mwigulu,mAKAMBA na Nape.Mama atazame kinachotokea Kenya.Au na huko kajieguza chura.
Huyu ndio Samia Suluhu Hassan! Hukumjua! hujachelewa! Anza kumfahamu Dkt Samia Suluhu Hassan.Mpiga mwingi hawezi mtema Makamba. Hiyo ndo inner circle yake wanapiga wote deals za ndani na nje ya serikali.
Leo umefahamu kuwa HAKUNA PAZITO kwa mama. Endelea kumfolow Mama, utamfahamu tu.Hapo kwa Makamba huwa naona pazito sana kwa mama house
Siwa ndio alikuwa anazuwiaa ishu nzima wasitoke na kumtisha mama kwamba hawa asiwaguse
Britanica sema " Mama mitano tena" njia nyeupe.Na hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.
Huyu ndio Samia Suluhu Hassan! Hukumjua! hujachelewa! Anza kumfahamu Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mfuatilie kwa karibu mpaka 2025, na 2026 tushangilie kwa pamoja kwa safari yake ya miaka 5 mingine.
waasisi wa kumsifia mama wakati usiku wanamroga. Watu wabaya sanaNdio maana Marope alikuwa kimyaaaaa hata hasikiki sijui Yuko wapi saizi
Ahaaa! Hii ndio reaction yake ya kwanza. Safari hii haiti media kama alivyofanya kwa Magu.Update: Nepi ame-deactivate account yake ya X!
YesNdoto yako iwe kweli, Wale jamaa watakutana tena maana wanaamin mchi ya Tz ni kwa ajili yao na vizazi vyao
Wajipange upyaaa hakuna namna!