reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
HahahahaaaHehehe watu mna habari za jikoni kabisa tutafutie na za yule aliesema tuhamie burundi Mama anamtoa lini,
ihefu ianze kula dagaa na ugali kambini.
Yaani yule namtamani miyee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaaaHehehe watu mna habari za jikoni kabisa tutafutie na za yule aliesema tuhamie burundi Mama anamtoa lini,
ihefu ianze kula dagaa na ugali kambini.
Uko sahihi ndugu.Hata akitoka mwigulu bado hakuna chochote cha maana kitafanyika, tatizo la nchi hii sio mtu mmoja mmoja ni li mfumo lizima kuanzia juu hadi chini, ndipo kuna jini mnyonya damu, hata umlete MALAIKA, hatoboi!!
Haya sasaNa hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.
Kuna watu wazito jf kuliko tunavodhaniI am wondering hii sio jambo la kawaida.
Yaani aliowataja wote wametumbuliwa kwa wakati mmoja
Una maoni gani Mkuu kwa sasa?
WANATOLEWA KWA MIKAKATI MAALUM, BAADA YA KUPIGIWA KELELE SANA, HII INAJENGA IMANI KWA UTAWALA!
Britanicca, salute.Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja Baada ya ziara ya Kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa
Britanicca.
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Hata kwa kitu kidogo kama hiki huwezi kuelewa, mnasherehekea, maana yake nyinyi akili ndogo ndio fursa yaoSasa hapo ni nini kilichovuja? Pathetic.
Umesahau kuna mkuu alibadilisha mpaka wapishi? Huo ni mzunguko tu wa kikazi.Britanicca, salute.
Hoja:
Wateuliwa wengi kwenye nafasi ya Katibu Tawala, Mkuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri, wanasomeka kwamba kabla ya Uteuzi walikuwa Ofisi ya Rais, Ikulu.
Swali:
Rais ameamua kusafisha Ofisi yake?
Nani anachukua nafasi za hawa wateuliwa waliokuwa Ikulu?
Au Wafanyakazi walikuwa wengi sana, sasa wanapunguzwa?
Anza kuamini Sasa.Na hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.
Acha mbwembwe dogo.Hata kwa kitu kidogo kama hiki huwezi kuelewa, mnasherehekea, maana yake nyinyi akili ndogo ndio fursa yao
Nakubaliana na wewe kabisaHii ina maana yupo kazini.
Taarifa imevujishwa makusudi kwa lengo fulani mahususi.
Na sio Hapo tu mfatilie Tangu Nyuma Aliwahi kutaja Kuhsu DG wa usalama wa Taifa Kutumbuliwa Ndani ya mwezi na kweli ndani ya Mwezi akaenda na majiI am wondering hii sio jambo la kawaida.
Yaani aliowataja wote wametumbuliwa kwa wakati mmoja
Hata yeye alishindwa kwani aliamini zaidi kwenye one man show!! Yeye ndio aogopwe, na akafanikiwa kuogopwa, lakini mambo yalikuwa hayaendi, na ndio maana alikuwa akifanya ziara, anacha amesafisha karibu kero zote, na kutumbua wahusika lakini akiondoka tu, yale aliyoyaagiza hakuna kitu kinaendelea akirudi tena kero ni zile zile tena!! Hadi alisema hivi ina maaana sieleweki?!!Mfumo unatengenezwa na watu,na Mtu au watu wanaweza amua kuondoa mfumo uliopo na kuweka mizani sawa.Kwa bahati mbaya kwa Tanzania kidogo Magufuli alijaribu.