Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Huyu sahau; anaweza kuwa ndiye anayefuata baada ya Mama. Hivi nyie huwa mnahitaji viongozi wakoje? Mnataka wawe kama malaika kutoka mbinguni?.Na iwe kama ulivyonena, halafu baadaye afuatie Mwigulu
Huyu ni kiongozi wa watu hawezi kutenguliwa miaka yote